Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa watalii wa ndani wanakuwaje visitors? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Ndio maana huwa nasema humu hizi data za tourism za Kenya na Tz huwa hazimake sense. There's soething that's never been clear to me.
We've been receiving more visitors by far alafu wanasema wanapata pesa kutushinda.
JKIA alone handles over 8M passengers, all their airports combined hazifiki hata 5M - bado waseme wanapata more than us.
There is a lot of cooking and opacity in your data. Sasa Kenya tunaweka visitors, nyinyi mnajiweka wenyewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Doesn't even make sense. How do you even determine you were a visitor in your own country and the other person was not?
Internal tourists sio visitors ni kina nani? Trainers au watchers ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Madalali mliwamaliza? Kwa hiyo mlivyosomba korosho kwa makarandinga ya Jeshi mkamaliza madalali? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Vipi kuhusu mbaazi na chorokokulosa soko?

Madalali saizi wapo au hawapo? Na Kwa nini?

Mizozo ya Kila mara inayohisu biashara ndio kuingiza mifugo kwenye hifadhi?

Nitajie Mageuzi aliyofanya Mwendazake kwenye Kilimo na Uvuvi na weka ushimahidi maana Kwa mama unaona Kila siku anazindua boti,anawapa mikopo na anatafuta soko la mazao.
walimalizwa au walitolewa kwenye mfumo wa udalali na sheria kali zikawekwa na ndio ikawa historia wakulima kufaidika na zao la korosho hata bei ya mauzo ikapanda au tumesahau๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



View: https://youtu.be/OWNgcxZg5go?si=7Te4j-bHaKW4XMtT
 
International tourists are more than total airport PAX in their country for both international and local travelers.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wacha nikupigie hesabu ndio ucheke.
They have 3 International Airports - Kilimanjaro, JNIA na Abeid Karume.
JNIA 2.4M
KIA 900K
Abeid Karume 1.4M
Total = 4.7M
Kumbuka JNIA yao ndio kila kitu hapo Dar unlike Nairobi where Wilson handles most of the internal flights, hapo JKIA hata Cessna za kwenda Serengeti zinatua huko.
So tuseme kwa hiyo 4.7, about 2M ni Internal flights.
Hapo unabaki na 2.7M
Kwa hiyo 2.7M, nusu ni departures, nusu pekee ndio arrivals.
Unabaki na 1.35M
Kwa hiyo 1.35M, kuna locals ambao labda walitembea ughaibuni sasa wanarudi - hao hatuwahesabu kama visitors.
Hapo unabaki na nothing more than 800k.
Kwa hiyo 800k tuongeze visitors by road ambao wametoka nchi jirani kama Kenya, Uganda, Zambia n.k. Hao hawawezi zidi 400k.
The true figure hapo ukipiga hesabu haiwezi zidi 1.2M.
Take that to the bank and you'll cash it within 30 minutes.
 
walimalizwa au walitolewa kwenye mfumo wa udalali na sheria kali zikawekwa na ndio ikawa historia wakulima kufaidika na zao la korosho hata bei ya mauzo ikapanda au tumesahau๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



View: https://youtu.be/OWNgcxZg5go?si=7Te4j-bHaKW4XMtT

Bei ya korosho ilipanda lini? Baada ya kuleta karandinga za Jeshi au?

NimeulA kwenye orodha ya mazao Makuu yaliyoingiza hela Umeiona Chikichi?

Harafu weka namba sio hadithi na masimulizi ya propaganda,Mimi naweka namba.
 
Wacha nikupigie hesabu ndio ucheke.
They have 3 International Airports - Kilimanjaro, JNIA na Abeid Karume.
JNIA 2.4M
KIA 900K
Abeid Karume 1.4M
Total = 4.7M
Kumbuka JNIA yao ndio kila kitu hapo Dar unlike Nairobi where Wilson handles most of the internal flights, hapo JKIA hata Cessna za kwenda Serengeti zinatua huko.
So tuseme kwa hiyo 4.7, about 2M ni Internal flights.
Hapo unabaki na 2.7M
Kwa hiyo 2.7M, nusu ni departures, nusu pekee ndio arrivals.
Unabaki na 1.35M
Kwa hiyo 1.35M, kuna locals ambao labda walitembea ughaibuni sasa wanarudi - hao hatuwahesabu kama visitors.
Hapo unabaki na nothing more than 800k.
Kwa hiyo 800k tuongeze visitors by road ambao wametoka nchi jirani kama Kenya, Uganda, Zambia n.k. Hao hawawezi zidi 400k.
The true figure hapo ukipiga hesabu haiwezi zidi 1.2M.
Take that to the bank and you'll cash it within 30 minutes.
Kundudwellers bhana.
 
imekuuma sana hzo sheria za kilimo zilibadilishwa tena kwa maamuzi magumu sana na ndio zinatusaidia mpaka kesho

mbona hamjagusa sheria za madini so far mulikua munasubiri nn sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au munajua kushangilia mafanikio tu
Jibu swali ,umeona Chikichi kwenye list? Kama hujaona ujue ni masimulizi ya propaganda ndio maana huwezi weka namba.

Pili sheria zipi zilizobadilishwa kuondoa madalali? Nitajie? Maaa nakusubiria ujae kwenye mfumo Ili na Mimi nikuoneshe kilichoondoa madalali.

Mwisho una uhakika sheria za Madini hazijaguswa? Nikuoneshe zilivyoguswa?
 
Internal tourists sio visitors ni kina nani? Trainers au watchers ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
How do you determine someone is an internal visitor? Maanake nikitoka kwangu sahii niingie Nairobi CBD, tayari nimetalii. Nikitoka kwangu nifike Mombasa kwenye beach, tayari nimetalii. Nikitoka Nairobi nifike kwetu ushagoo tayari nimetalii. In short, tukihesabu internal visitors kila Mkenya by the end of the year ametalii sehemu kadhaa za nchi so tukihesabu hao kama visitors our tourist numbers could be as high as 200M. Ndio maana nakwambia hizo figures zenu za tourism mimi huzifind fishy sana.
 
How do you determine someone is an internal visitor? Maanake nikitoka kwangu sahii niingie Nairobi CBD, tayari nimetalii. Nikitoka kwangu nifike Mombasa kwenye beach, tayari nimetalii. Nikitoka Nairobi nifike kwetu ushagoo tayari nimetalii. In short, tukihesabu internal visitors kila Mkenya by the end of the year ametalii sehemu kadhaa za nchi so tukihesabu hao kama visitors our tourist numbers could be as high as 200M. Ndio maana nakwambia hizo figures zenu za tourism mimi huzifind fishy sana.
Wewe una akili kisoda,hizo takwimu zimechukuliwa kwenye entry gates za maeneo ya kitalii Sasa hapo sijui unaongea nini.
 
tofaut ya mwanza na mombasa ni

mwanza ni modern city while mombasa is just old fucking city, mwanza huwez kuta slums za ovyo zimezagaa while mombasa imezunguka na slum mpaka CBD, mwanza hakuna nyumba za tope while mombasa over 70% majengo mengi ni ya tope, mwanza ina modern bus terminals and markets za kutosha, mwanza imepangika na ni second cleanest city in tanzania while mombasa is among worse cities on planet ( uchafu na kunanuka all over)

mwanza ina modern paved streets while mombasa mpaka uwashe torch mchana ndio utazipata ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Modern city with suburbs za ushago with unpaved roads. Punguza jokes wewe mwarabu bandia. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ World's most popular car brand is Toyota na hawana showroom Mwanza. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Toyota bado wanaona Mwanza kama kijiji with no purchasing power.
 
Wewe una akili kisoda,hizo takwimu zimechukuliwa kwenye entry gates za maeneo ya kitalii Sasa hapo sijui unaongea nini.
Swali 1. Maeneo ya Kitalii ni kama yapi? How do you determine eneo ni la kitalii?
Swali 2. Sasa niseme mtu akitoka China aje hapo Vumbistan alafu asiingia hayo maeneo unayoyaita ya Kitalii but atembee nchini sehemu zingine alafu arudi China hatahesabika kama mtalii kisa hajaingia maeneo ya kitalii? ๐Ÿ˜‚
 
Swali 1. Maeneo ya Kitalii ni kama yapi? How do you determine eneo ni la kitalii?
Swali 2. Sasa niseme mtu akitoka China aje hapo Vumbistan alafu asiingia hayo maeneo unayoyaita ya Kitalii but atembee nchini sehemu zingine alafu arudi China hatahesabika kama mtalii kisa hajaingia maeneo ya kitalii? ๐Ÿ˜‚
1.Ukiwa domestic traveller lazima uende entry points za maesonya Utalii eg hifadhi,maeneo ya kale yaliyohifadhiqa nk Kwa sababu utalipia.

2.Ukiwa international traveller napo utajaza taarifa zako na utakuwa categorised kulingana na purpose Yako .
 
1.Ukiwa domestic traveller lazima uende entry points za maesonya Utalii eg hifadhi,maeneo ya kale yaliyohifadhiqa nk Kwa sababu utalipia.

2.Ukiwa international traveller napo utajaza taarifa zako na utakuwa categorised kulingana na purpose Yako .
Bro - caption yako imesema Africa's Most Visited Country. Hivi unaelewa hiyo statement ama Kiingereza kimekuwa balaa kama kawaida yenu?
Visiting a country means coming from outside as an outsider and entering the country. Haya mambo ya kuingia kwa hifadhi za wanyama wapi na wapi?
Numbers za most visited country huwa za Wageni kutoka nje kuja nchini mwenu. Kubali hizi figures zenu ni upishi na hizi hadithi zako pelekea bongolala wenzako.
 
Bei ya korosho ilipanda lini? Baada ya kuleta karandinga za Jeshi au?

NimeulA kwenye orodha ya mazao Makuu yaliyoingiza hela Umeiona Chikichi?

Harafu weka namba sio hadithi na masimulizi ya propaganda,Mimi naweka namba.
hio korosho unayoisifu leo iliwekewa mikakati maalumu na walifanikiwa mpaka kutumia bandari ya mtwara kama key port yao au urongooo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

 
Bro - caption yako imesema Africa's Most Visited Country. Hivi unaelewa hiyo statement ama Kiingereza kimekuwa balaa kama kawaida yenu?
Visiting a country means coming from outside as an outsider and entering the country. Haya mambo ya kuingia kwa hifadhi za wanyama wapi na wapi?
Numbers za most visited country huwa za Wageni kutoka nje kuja nchini mwenu. Kubali hizi figures zenu ni upishi na hizi hadithi zako pelekea bongolala wenzako.
Maudhui ni Utalii,huko kote tourists Wana visit attractions bila kujalisha n wa ndani au wa Nje ndio maana nikakupa mchanganuo.
 
Jibu swali ,umeona Chikichi kwenye list? Kama hujaona ujue ni masimulizi ya propaganda ndio maana huwezi weka namba.

Pili sheria zipi zilizobadilishwa kuondoa madalali? Nitajie? Maaa nakusubiria ujae kwenye mfumo Ili na Mimi nikuoneshe kilichoondoa madalali.

Mwisho una uhakika sheria za Madini hazijaguswa? Nikuoneshe zilivyoguswa?
sema sisi ni wasahaulifu sana na yote uchawa na ujinga umetujaa vichwani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

hilo zao unalolitaja lilifanywa kua zao kuu la 6 la biashara na huyo huyo usompenda aliewanyoosha mpaka nchi ikanyooka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



View: https://www.youtube.com/watch?v=_8gjaH6-VZM
 
Back
Top Bottom