BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

haya maajabu sana mtu ana kariri historia ya sayansi eti nae anajiita kipanga

miaka nenda rudi hajawahi fanya/gundua lolote/chochote cha maana zaidi ya kukariri hooks law, newtone law et anajiita kipanga pumbavu sana
Hahaaa HKL mna matatizo sana kipindi tunakariri hizo law wewe ulikua busy na mfekane war mara vita vya maji maji na babu kinjekitile ngwale..

Kwa taarifa yako zile ni basics tu chuoni vipanga wa science wanajifunza kupractice na kuintegrate zile basics kwenye real life....kama vipanga wa PCB wnavyotumia basics za coordination ya biology kusoma vitu kama neurosurgery..

Sasa wewe HKL ni kuimba mofimu na vishazi huru tu
 
Jamani kwa hiyo tayari ushawahiwa (wadada mlio single tusikitike kwa pamoja tititititiiiii )Ila unaweza ongeza mmoja ye atakula kidogo kidogo sio sana

Huyo anaekula sanaa pesa zako naniii mwambie apunguze na sisi tupelekwe Ibiza
[emoji16][emoji16][emoji16] unajua wewe mama Sabrina ni mtundu sana!? Hadi nimejikuta nacheka tu.
 
Shida ni pale anapovamia nyuzi za watu na kukutukana je hili utalitatua vp?
Yeye hajui tu kwamba kwa kuvamia nyuzi za watu sio kwamba ananichafua na kunivuruga Mimi bali anajichafua na kujivuruga zaidi yeye maana watu wanahisi huyu jamaa hajielewi.

Ni bora umemtengenezea Uzi awe anasemea hapa hapa... Huko anajidharirisha tu.
 
Hahaaa HKL mna matatizo sana kipindi tunakariri hizo law wewe ulikua busy na mfekane war mara vita vya maji maji na babu kinjekitile ngwale..

Kwa taarifa yako zile ni basics tu chuoni vipanga wa science wanajifunza kupractice na kuintegrate zile basics kwenye real life....kama vipanga wa PCB wnavyotumia basics za coordination ya biology kusoma vitu kama neurosurgery..

Sasa wewe HKL ni kuimba mofimu na vishazi huru tu
hahahahaha! stress zitawaua, msipo acha sifa za kijinga lazima mkate moto kwa msongo wa mawazo

Mwenzako kawa kama mgonjwa wa UKIMWI anatukana kila amuangaliaye bado wewe

Unatumia nguvu nyingi kumeza madude kipato unawaza ukope hata m5 ukimbie kazi dadeq na bado.
 
Usiforce m.ku.n..u.dn. kutafuna mua Ally happy kasoma HKL na hauna ulichompita
Huyu jamaa ana kaushamba fulani hivi kama ukifuatilia post zake,,,hana tofauti na kihombo ni wajivuni mno,,,mkuu ajue kua maisha sasa hivi ni kutegemeana angalia mtu kama Tundu Lissu hajasoma sayansi ila ndo nguli wa sheria watu wanamtegemea,,,Makonda kaungaunga tu elimu leo ndo rais wake wa mkoa,,,,mdada aliyesoma nesi kwa kuunga unga leo ndo anashika matako yetu pamoja na yake kumchoma sindano...na kuna wengine watmpiga kidole kupima tezi dume so kila mtu ana nafasi yake kwenye huu ulimwengu.
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Uko sawa kabisa, huwezi kulinganisha PCM na H_kunani sijui HKL, CCNP Engineer inatakiwa ujue hata MTU mwenye akili anaweza kusoma HKL, Everything is changed, a pendulum is swung to other direction, Saivi tunaangalia hela, mwenye akili ya kutafuta hela na kuweza kuimiliki yaani cash flows ndo tunaemtaka na sio kasoma nini ukiwa Engineer UVIMBE. ila unaweza kuvimba maana vyeti vyako nliviona umenyoosha kati Mimi iyo PCM ilininyoosha nikasanda,
 
Yeye hajui tu kwamba kwa kuvamia nyuzi za watu sio kwamba ananichafua na kunivuruga Mimi bali anajichafua na kujivuruga zaidi yeye maana watu wanahisi huyu jamaa hajielewi.

Ni bora umemtengenezea Uzi awe anasemea hapa hapa... Huko anajidharirisha tu.
Okay okay basi huu Uzi itabidi nimkabidhi yaani akijisikia anataka kuchafua aje hapa akutag tu na sio kwenda kuchafua nyuzi za watu maana leo kuna Uzi wa Zahra White aliuvamia mpaka wakagombana na mwenye uzi hivyo hii sio tabia nzuri at all.
 
hahahahaha! stress zitawaua, msipo acha sifa za kijinga lazima mkate moto kwa msongo wa mawazo

Mwenzako kawa kama mgonjwa wa UKIMWI anatukana kila amuangaliaye bado wewe

Unatumia nguvu nyingi kumeza madude kipato unawaza ukope hata m5 ukimbie kazi dadeq na bado.
Mkuu sisi hatuna sifa lakini infertility complex yenu ndio inawafanya muone kama vile tunajidai..

Watu waliosoma science na kufaulu wanaishi ndoto zao.
Tofauti na nyie mliopelekwa huko mliko kwa uchache wa marks..kwahio kwa mshahara nilionao naona poa tu maana nafanya kazi niliyoi dream kutoka utotoni..

Kama tatizo ni pesa na msongo wa mawazo ninawafahamu watu zaidi ya 100 waliosoma H... wanastress kama nini
 
Mkuu sisi hatuna sifa lakini infertility complex yenu ndio inawafanya muone kama vile tunajidai..

Watu waliosoma science na kufaulu wanaishi ndoto zao.
Tofauti na nyie mliopelekwa huko mliko kwa uchache wa marks..kwahio kwa mshahara nilionao naona poa tu maana nafanya kazi niliyoi dream kutoka utotoni..

Kama tatizo ni pesa na msongo wa mawazo ninawafahamu watu zaidi ya 100 waliosoma H... wanastress kama nini
Kausha mkubwa... Tushamaliza hiyo mitkasi ya masomo.. We are having fun now.

Hongera kwa kufaulu science bro.
 
Usiforce m.ku.n..u.dn. kutafuna mua Ally happy kasoma HKL na hauna ulichompita
Huyu jamaa ana kaushamba fulani hivi kama ukifuatilia post zake,,,hana tofauti na kihombo ni wajivuni mno,,,mkuu ajue kua maisha sasa hivi ni kutegemeana angalia mtu kama Tundu Lissu hajasoma sayansi ila ndo nguli wa sheria watu wanamtegemea,,,Makonda kaungaunga tu elimu leo ndo rais wake wa mkoa,,,,mdada aliyesoma nesi kwa kuunga unga leo ndo anashika matako yetu pamoja na yake kumchoma sindano...na kuna wengine watmpiga kidole kupima tezi dume so kila mtu ana nafasi yake kwenye huu ulimwengu.
 
Hajielewi sana huyu jamaa kuna Uzi mmoja wa mgonjwa folk alikuwa anahitaji msaada kipindi kile yeye akaanza kuvurumusha matusi hadi kila mtu akamshangaa. Aache hii tabia ya kutukana kila sehemu haimsaidii bali inambomoa sana.

Duh! Kwa akili yake inavyofanya kazi siamini kama atakuwa injinia maana sitaki kuamini kama hadhi ya uinjinia imeshuka hivi... Siamini! He is too mediocre and shallow sana. Yaani hata Mimi naamini namshinda kuelezea theory za astrophysics deep kuliko yeye aliesoma physics na kupata A na akija hapa Mimi na yeye tuizumgumzie theory of relativity uone atakavyo mangamanga... Au sijui ana zile style za ndugu zangu wa kihaya w kale unamkuta mtu ni anasaga mashineni lakini ukimuuliza taaluma yake utasikia "I'm monocotyledons grinding technician" [emoji16][emoji16] hataki kusema Mimi ni msaga mashine wa pale kinyerezi. Kuna uwezekano akawa anakibanda cha kurepair simu pale ubungo then na yeye anajiita engineering wa software, hatari kujiita Fundi simu... Shiit!

Tutaikomesha tabia za watu wenye chuki zisizo na msingi za kutukana wenzao mtandaoni kwa kuwafungulia Uzi kama hivi na kuzaa nao kama hivi..
Tunavyozaa nae huyu.

Ahahaha!! Picha niliyonayo ya mpinzani wangu ni ya kuchekesha saana na ni silaha yangu ya maangamizi kwake siku akinisumbua zaidi namvurumushia hii picha yake kama shambulio la mwisho la nyuklia. Pigo takatifu... Chukua hii hapa mkuu kama bonus... Ndio huyo mwenye suruali kama limfuko la mashineni la kukung'utia unga...[emoji16][emoji16][emoji16]

Ameshaweka screenshot yake?View attachment 827665View attachment 827666View attachment 827667
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahh
 
Uko sawa kabisa, huwezi kulinganisha PCM na H_kunani sijui HKL, CCNP Engineer inatakiwa ujue hata MTU mwenye akili anaweza kusoma HKL, Everything is changed, a pendulum is swung to other direction, Saivi tunaangalia hela, mwenyewe akili ya kutafuta hela na kuweza kuimiliki yaani cash flows ndo tunaemtaka na sio flani kasoma nini ukiwa Engineer UVIMBE. ila unaweza kuvimba maana vyeti vyako nliviona umenyoosha kati Mimi iyo PCM ilininyoosha nikasanda,
Una msapoti akope bank million tano afu akimbie nayo
 
Back
Top Bottom