BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

haya maajabu sana mtu ana kariri historia ya sayansi eti nae anajiita kipanga

miaka nenda rudi hajawahi fanya/gundua lolote/chochote cha maana zaidi ya kukariri hooks law, newtone law et anajiita kipanga pumbavu sana
Hahaaa HKL mna matatizo sana kipindi tunakariri hizo law wewe ulikua busy na mfekane war mara vita vya maji maji na babu kinjekitile ngwale..

Kwa taarifa yako zile ni basics tu chuoni vipanga wa science wanajifunza kupractice na kuintegrate zile basics kwenye real life....kama vipanga wa PCB wnavyotumia basics za coordination ya biology kusoma vitu kama neurosurgery..

Sasa wewe HKL ni kuimba mofimu na vishazi huru tu
 
Jamani kwa hiyo tayari ushawahiwa (wadada mlio single tusikitike kwa pamoja tititititiiiii )Ila unaweza ongeza mmoja ye atakula kidogo kidogo sio sana

Huyo anaekula sanaa pesa zako naniii mwambie apunguze na sisi tupelekwe Ibiza
[emoji16][emoji16][emoji16] unajua wewe mama Sabrina ni mtundu sana!? Hadi nimejikuta nacheka tu.
 
Shida ni pale anapovamia nyuzi za watu na kukutukana je hili utalitatua vp?
Yeye hajui tu kwamba kwa kuvamia nyuzi za watu sio kwamba ananichafua na kunivuruga Mimi bali anajichafua na kujivuruga zaidi yeye maana watu wanahisi huyu jamaa hajielewi.

Ni bora umemtengenezea Uzi awe anasemea hapa hapa... Huko anajidharirisha tu.
 
hahahahaha! stress zitawaua, msipo acha sifa za kijinga lazima mkate moto kwa msongo wa mawazo

Mwenzako kawa kama mgonjwa wa UKIMWI anatukana kila amuangaliaye bado wewe

Unatumia nguvu nyingi kumeza madude kipato unawaza ukope hata m5 ukimbie kazi dadeq na bado.
 
Usiforce m.ku.n..u.dn. kutafuna mua Ally happy kasoma HKL na hauna ulichompita
Huyu jamaa ana kaushamba fulani hivi kama ukifuatilia post zake,,,hana tofauti na kihombo ni wajivuni mno,,,mkuu ajue kua maisha sasa hivi ni kutegemeana angalia mtu kama Tundu Lissu hajasoma sayansi ila ndo nguli wa sheria watu wanamtegemea,,,Makonda kaungaunga tu elimu leo ndo rais wake wa mkoa,,,,mdada aliyesoma nesi kwa kuunga unga leo ndo anashika matako yetu pamoja na yake kumchoma sindano...na kuna wengine watmpiga kidole kupima tezi dume so kila mtu ana nafasi yake kwenye huu ulimwengu.
 
Uko sawa kabisa, huwezi kulinganisha PCM na H_kunani sijui HKL, CCNP Engineer inatakiwa ujue hata MTU mwenye akili anaweza kusoma HKL, Everything is changed, a pendulum is swung to other direction, Saivi tunaangalia hela, mwenye akili ya kutafuta hela na kuweza kuimiliki yaani cash flows ndo tunaemtaka na sio kasoma nini ukiwa Engineer UVIMBE. ila unaweza kuvimba maana vyeti vyako nliviona umenyoosha kati Mimi iyo PCM ilininyoosha nikasanda,
 
Okay okay basi huu Uzi itabidi nimkabidhi yaani akijisikia anataka kuchafua aje hapa akutag tu na sio kwenda kuchafua nyuzi za watu maana leo kuna Uzi wa Zahra White aliuvamia mpaka wakagombana na mwenye uzi hivyo hii sio tabia nzuri at all.
 
Mkuu sisi hatuna sifa lakini infertility complex yenu ndio inawafanya muone kama vile tunajidai..

Watu waliosoma science na kufaulu wanaishi ndoto zao.
Tofauti na nyie mliopelekwa huko mliko kwa uchache wa marks..kwahio kwa mshahara nilionao naona poa tu maana nafanya kazi niliyoi dream kutoka utotoni..

Kama tatizo ni pesa na msongo wa mawazo ninawafahamu watu zaidi ya 100 waliosoma H... wanastress kama nini
 
Kausha mkubwa... Tushamaliza hiyo mitkasi ya masomo.. We are having fun now.

Hongera kwa kufaulu science bro.
 
Usiforce m.ku.n..u.dn. kutafuna mua Ally happy kasoma HKL na hauna ulichompita
Huyu jamaa ana kaushamba fulani hivi kama ukifuatilia post zake,,,hana tofauti na kihombo ni wajivuni mno,,,mkuu ajue kua maisha sasa hivi ni kutegemeana angalia mtu kama Tundu Lissu hajasoma sayansi ila ndo nguli wa sheria watu wanamtegemea,,,Makonda kaungaunga tu elimu leo ndo rais wake wa mkoa,,,,mdada aliyesoma nesi kwa kuunga unga leo ndo anashika matako yetu pamoja na yake kumchoma sindano...na kuna wengine watmpiga kidole kupima tezi dume so kila mtu ana nafasi yake kwenye huu ulimwengu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahh
 
Una msapoti akope bank million tano afu akimbie nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…