victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Ahahahahaha na tunazipendaaaa na tunampenda anaezimiliki pia [emoji23][emoji23]@Zipompa watoto wa kike rafiki yao ni hela.. Hivyo usijali wakija kwangu ujue wamfuata rafiki yao wa muda mrefu anaitwa hela. [emoji16][emoji16]
Nimecheka kweli eti watampiga dole kumpima tezi dume. Ila jamaa alinikera sana na vimaneno vyake vya kijinga anajihisi kama ndio mtu wa kwanza kusoma TelecomHuyu jamaa ana kaushamba fulani hivi kama ukifuatilia post zake,,,hana tofauti na kihombo ni wajivuni mno,,,mkuu ajue kua maisha sasa hivi ni kutegemeana angalia mtu kama Tundu Lissu hajasoma sayansi ila ndo nguli wa sheria watu wanamtegemea,,,Makonda kaungaunga tu elimu leo ndo rais wake wa mkoa,,,,mdada aliyesoma nesi kwa kuunga unga leo ndo anashika matako yetu pamoja na yake kumchoma sindano...na kuna wengine watmpiga kidole kupima tezi dume so kila mtu ana nafasi yake kwenye huu ulimwengu.
Duh. Pole sana, movie nzuri sana sana, Bonge la love story, nimeiangalia tangu darasa la Tatu mpaka Leo sijaichokanitaitafuta Jane,inahusu nini?
Mh mama Sabrina anayezimiliki huwa mnampenda kweli?mbona zikiisha huwa mnawakimbia?Ahahahahaha na tunazipendaaaa na tunampenda anaezimiliki pia [emoji23][emoji23]
Hana adabu sana mshkaji sio gentleman na hamueshimu yeyote yule ndio ubaya yeye anatukana tu hovyo hovyo.Nimecheka kweli eti watampiga dole kumpima tezi dume. Ila jamaa alinikera sana na vimaneno vyake vya kijinga anajihisi kama ndio mtu wa kwanza kusoma Telecom
@victormztz Shukrani kaka. Tuendelee kuwa waungwana.Point 3 zako aisee😀@Humble African
Hahhaha mwenyewe nishaamua kutafuta hela tu, maana kitu wanachopenda wanawake nisipokitafuta huku na Mimi nawataka wao hapo ntakuwa sina akili kumkichwa, Tutafute hela jamaniAhahahahaha na tunazipendaaaa na tunampenda anaezimiliki pia [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afadhalijamani mnikopeshe tumilion 30,yes tumilion 30,lol ,nataka njijiajiri nisishinde humu,im serious....
Nashukuru mkuu nazichukua kwa moyo mkunjufu sana.Chukua point 3 mkuu Humble African you deserve it.
Ujengewe round about[emoji23]Kura yangu kwa Humble African
Wewe jamaa yangu unafurahisha sana... Eti BMW na TREKTA... Irrelevant!EFD inaendelea Ku count mpaka sasa wagombea wameachana mbali sana yaani kama vile nilikuwa nashindanisha BMW na TREKTA dah shida kwelikweli
Ahahhahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu CCNP Engineer umewaaungusha saana mashabiki.. Umekosa hata salio linalo zidi milioni 5? Ili uchukue point 3 fasta. Matokeo yake umekimbia
Huwa tunazifata kuzitafuta zinapokimbilia[emoji23]Mh mama Sabrina anayezimiliki huwa mnampenda kweli?mbona zikiisha huwa mnawakimbia?
Kabisa tafuteni pesa na mtupe pesa jamanii tupeni tunachotakaHahhaha mwenyewe nishaamua kutafuta hela tu, maana kitu wanachopenda wanawake nisipokitafuta huku na Mimi nawataka wao hapo ntakuwa sina akili kumkichwa, Tutafute hela jamani
Hahahaha jamaniEFD inaendelea Ku count mpaka sasa wagombea wameachana mbali sana yaani kama vile nilikuwa nashindanisha BMW na TREKTA dah shida kwelikweli
Bina ulikuwa wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afadhali