nakuapia angenipa ningewanyea wakina Humble African humu mpaka wajute we si unaona nlivyokuwa mdogo kama piriton ha ha haIle hamsini elfu alikupa.....
Mm kila nikiyaonaga matusi yake tu basi huwa natamani nimng'ateng'ate mpaka basi maana ngumi nitauaninasikitikaga na matusi yake hapo tu jamani
Pulizzzzzz kama naona inavyofurika [emoji6][emoji6][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mchokozi saana wewe Mama Sabrina.
carbamazepine njoo tufanye mpango wa kutumiwa muamala hapa[emoji39][emoji39][emoji39]Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827601View attachment 827602
Yaan we kaka unaniua mbavuengineer au tumsubiri akasome salio benki kesho maana leo benki hawafungui ukizingatia engineer yuko ile benki ya mbinga community bank. hivo tumvumilie. bado muda upo
This is a serious noteamu: engineer alikumention kua unafahamu mengi juu yake vipi umwite arudi bado tunamsubiri tajiri yetu aweke chochote muda bado tunao.
hapo ndo aliponiangusha eti haakuna huduma za kibenki mpaka aende mjini sijui radius ngapi aliandika wakati kuna online banking kibao tena wanakopesha mpaka dola ya Trump mimi amu kilaza nazijua na ninazitumia yeye certified injinia kuja na sababu kama ila mhhhhengineer au tumsubiri akasome salio benki kesho maana leo benki hawafungui ukizingatia engineer yuko ile benki ya mbinga community bank. hivo tumvumilie. bado muda upo
[emoji23][emoji23][emoji23] endelea kuwanote lakin naona mmeshindwaHata wewe ah ah ah.....
Mbona leo wote mnamkimbia Mwanasayansi....
CCNP Engineer wasaliti wote nawa note na imani screenshot yako ya bank itawaacha watu mdomo wazi najua huwa hukurupuki.....
Kama kawaida yetu chief tuko slow but sure......
Anawaangusha wanasayansi mpaka anafanya mpaka wanasayansi muone kama tunawachukia kitu ambacho sio sahihi bali tunachukia majivuno yaliyopita kiasi na matusi yake anasahau kuwa taaluma zote zinategemeana maana hadi wafanyakazi wa mochuari ambao ni darasa la saba bado nao tunawategemea kwa nafasi yap.Aisee...... naona watu mmechafukwa kwelikweli.....
Hopefully atakuwa mtu mwema sasa maana kila mmoja anaishia kum crush yeye tu itabidi ajitathimini upya ni wapi alipotekeza ili kupunguza chuki na kutokuelewana na baadhi ya members humu ndani.....
Na hiii ni baada ya kuweka screenshot ya salio la bank na bila shaka watayamaliza na bwana Humble African ili maisha yaweze kuendelea....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Washkaji wamemtosa kumpa salary slips sijui....
Wana HKL tupo juuIle hamsini elfu alikupa.....
Engineer is no where to be found, very interesting! I thought he is warming up to knock u down, may be he will show up later as for now can't see him...It's true!! We had a lot of funny sir. And its only funny until someone get hurt? CCNP engineer is down and hurt. [emoji16] and the fun is almost over.
enjoy!
nimemmaindi kunimention pale bora hata 50 ningeila huu uzi ningepelekeshana nao ila pesa sijala na kanitag kwenye matusi aiseee injinia naomba iwe mwisho kunitag kwenye matusi amu humu ni brand, humu ndani mimi nimezoea maneno mazuri mazuri wewe kunitag kwenye mijineno ya ukakasi aaarghamu: engineer alikumention kua unafahamu mengi juu yake vipi umwite arudi bado tunamsubiri tajiri yetu aweke chochote muda bado tunao.
Itabidi hii tuifidie kwa kukutoa super dinner....nakuapia angenipa ningewanyea wakina Humble African humu mpaka wajute we si unaona nlivyokuwa mdogo kama piriton ha ha ha
fala sana yaani naonaje aibu hapa nlijishusha jamani nlipigania sana heshima yetuWana HKL tupo juu
hapa kuna ufisi ndani yake pia sina cha kuongea na nyie mna matusi sana bora niende kwa Humble African ana maneno matamu mpaka namuonea wivu ZahraItabidi hii tuifidie kwa kukutoa super dinner....
Si unajua wanaume wengine ni wagumu kutoa pesa ila kwa kununulia chakula wanatoa tu ni wewe kusema upelekwe wapi uile hiyo 50 uimalize...
Tumpe muda maybe atakuwa site anarekebisha minara [emoji4][emoji4] wanasayansi huwa hatushindwi kirahisi.....[emoji23][emoji23][emoji23] endelea kuwanote lakin naona mmeshindwa
Ni wapi tumetukana mkuu....hapa kuna ufisi ndani yake pia sina cha kuongea na nyie mna matusi sana bora niende kwa Humble African ana maneno matamu mpaka namuonea wivu Zahra
Mkuu mie nimepitwa screenshot ilikua na million ngapi ?Tumpe muda maybe atakuwa site anarekebisha minara [emoji4][emoji4] wanasayansi huwa hatushindwi kirahisi.....
Asipoweka leo screenshot kesho mapema atafanya hivyo....
So tuwe wavumilivu....
aaaa ile comment aliyonitag hakuna matusi pale?comment kibao hata hapa sijamaliza kusoma naona matusi tuNi wapi tumetukana mkuu....