BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Mchawi pesa Humble African una kura yangu huwaga nikiona thread zako lazima nifungue nione yaliyomo achana na Huyo mwenye kusubiri pesa za kudownload na A plus zake.
Hata wewe ah ah ah.....

Mbona leo wote mnamkimbia Mwanasayansi....

CCNP Engineer wasaliti wote nawa note na imani screenshot yako ya bank itawaacha watu mdomo wazi najua huwa hukurupuki.....

Kama kawaida yetu chief tuko slow but sure......
 
Hata wewe ah ah ah.....

Mbona leo wote mnamkimbia Mwanasayansi....

CCNP Engineer wasaliti wote nawa note na imani screenshot yako ya bank itawaacha watu mdomo wazi najua huwa hukurupuki.....

Kama kawaida yetu chief tuko slow but sure......
Washkaji wamemtosa kumpa salary slips sijui....
 
Promota kura ya huyu... Naomba zihesabike kama mbili maana kaonyeha uvumilivu na heshima kwa injinia aliempa ahadi ya uongo ya kumpa elfu hamsini then akaingia mitini. Yaani kavumilia utapeli!

Amekuwa mvumilivu na mwenye staha sana unless kwa mwingine ungekuwa mwano sana muda huu.
Mimi kama mwanasayansi nliipagania sana heshima yetu ila nimeangushwa naomba zihesabike kura 2 tafadhali
 
Mchawi pesa Humble African una kura yangu huwaga nikiona thread zako lazima nifungue nione yaliyomo achana na Huyo mwenye kusubiri pesa za kudownload na A plus zake.
@Beef lasagna na wenzako leo mmenifurahisha sana na mmedhihirisha wanawake ni jeshi kubwa sana. I promise kuna siku nitawatoa out for good vacation tupate Bonge moja la supper tukifurahi na Ku enjoy pamoja.

One day! I really wish hii.
 
Hata wewe ah ah ah.....

Mbona leo wote mnamkimbia Mwanasayansi....

CCNP Engineer wasaliti wote nawa note na imani screenshot yako ya bank itawaacha watu mdomo wazi najua huwa hukurupuki.....

Kama kawaida yetu chief tuko slow but sure......
mmeniangusha nyinyi hata kutype vidole vizito kwa ajili yenu
 
Mimi kama mwanasayansi nliipagania sana heshima yetu ila nimeangushwa naomba zihesabike kura 2 tafadhali
Tutahesabu kura 2 but pia km chama cha wanasayansi tunaomba mtuthibitishie usajili wa huyu mtu asije kuwa kama wale madaktari feki wanaokamatwa kila leo
 
Hata wewe ah ah ah.....

Mbona leo wote mnamkimbia Mwanasayansi....

CCNP Engineer wasaliti wote nawa note na imani screenshot yako ya bank itawaacha watu mdomo wazi najua huwa hukurupuki.....

Kama kawaida yetu chief tuko slow but sure......
😎😎😎😎😎😎 Hahahhaa atupishe huyu mwana sayansi kimu mwenye maneno ya shombo kama madalali wa samaki amenitosha mkuu
 
Yaani nisipokuwepo huwa anachonga ila nikitokea nduuuki anarudi shimoni haraka kama hivi kiiiiimy...! Mjambaji na screenshot yetu...njoo tunakusubiri hapa Mimi na wapiga kura wangu. [emoji16]View attachment 827645
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... injinia anaongea ujinga namna hii smh... huko shuleni alienda kusomea ujinga bila shaka.
 
😎😎😎😎😎😎 Hahahhaa atupishe huyu mwana sayansi kimu mwenye maneno ya shombo kama madalali wa samaki amenitosha mkuu
Aisee...... naona watu mmechafukwa kwelikweli.....

Hopefully atakuwa mtu mwema sasa maana kila mmoja anaishia kum crush yeye tu itabidi ajitathimini upya ni wapi alipoteleza ili kupunguza chuki na kutokuelewana na baadhi ya members humu ndani.....

Na hiii ni baada ya kuweka screenshot ya salio la bank na bila shaka watayamaliza na bwana Humble African ili maisha yaweze kuendelea....
 
Back
Top Bottom