BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Jamaa anaonekana online but hana pa Ku comment dadeck
@Humble African mbaya Sana.sijawahi kuona mtu anapigwa pigo takatifu na kukimbia JF mazima. Kwani mara ya mwisho alicoment wapi na alicoment kitu gani? Simpati kabisa jamii forum hata nikimsechi haziji result zake kabisa.
 
@Humble African mbaya Sana.sijawahi kuona mtu anapigwa pigo takatifu na kukimbia JF mazima. Kwani mara ya mwisho alicoment wapi na alicoment kitu gani? Simpati kabisa jamii forum hata nikimsechi haziji result zake kabisa.
Itabidi tuombe msaada kwa wana IT watufungie huyu jamaa GPS ili tumpate anashinda jukwaa gani maana anatupa kazi ngumu ya kumtafuta mwisho wa siku asije kujiteka mwenyewe akasingizia tulimteka sisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Itabidi tuombe msaada kwa wana IT watufungie huyu jamaa GPS ili tumpate anashinda jukwaa gani maana anatupa kazi ngumu ya kumtafuta mwisho wa siku asije kujiteka mwenyewe akasingizia tulimteka sisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We mzee baba unafaa kabisa kuwa promota.unaijua kazi yako.afu mwambieni na Mello atusaidie kumsakua ID huyu njemba. Nani Afande milanzi.
 
We mzee baba unafaa kabisa kuwa promota.unaijua kazi yako.afu mwambieni na Mello atusaidie kumsakua ID huyu njemba. Nani Afande milanzi.
Amenitia hasara kubwa sana kukimbia pambano yaani kila nikikumbuka alivyoanza kwa mbwembwe akasahau kuwa marathoni mbio zake huwa hazitaki pupa km pumzi kisoda lazima ukae mapemaaaaa
 
breaking news
engineer ajinyonga
Tafadhwali ndugu usije ukatufanya na sie tukaukimbia Uzi promota nina mtoto mdogo ambaye hajanijua hata babaake sasa kumuacha kwenda kule mahali mh si ulimsikia yule jamaa aliyeponea kwenye tundu ya sindano kesi ya Bilionea?
 
Upi mchango wako ama engineering maana kuna mainjinia wengi,na kwanini mtu akisoma HKL ni pugi kwa maelezo yako kuwa kwa kuwa ww ni engineer hvyo muhtasari wa HKL ni sawa tu umeumaliza.


Leteni michango yenu hapa kwenye hizo elimu zenu kazi kwenu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupe kidogo ilikuaje mkuu

Alikua ana tabia kama huyu Engineer ,kumbe watu wanakusanya data zake siku wanakuja kumfyatua akapotea mazima mpaka leo hope ana ID nyingine au kabadilisha jina
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]jamani mtanitoa mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…