BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Hehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..

Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..

Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Huu mpambano wa shoka ,,,,naona injinia katupa taulo uwanjani
Bora hata angetupa taulo pambano lingemalizwa na refa,Kakimbia uwanjani kawatoka security wa mlangoni mbio ila kuna wanaosema kaonekana Tandahimba. Ah ah ah ah
 
hahaha " mimi mwenyewe nimeshindwa kuendelea nayo" acha nijishughulishe na mambo chanya kwanza
Ila mmemuattack sana CCNP Engineer. huyu jamaa anajua kuvimba, hes an engineer anatakiwa vimbaa bana kusomea Engineering si mchezo acha atudharau vilaza sie!.
Najua tungekua na akili tungeshindana nae darasani n' namwambia keep up man!.. Angekua NN kajitapa hivi wote kimya, lile jamaa linajua kutisha!! 🙂..
 
Hahahah mkuu. Usifananishe the bold na vitu vya kijinga.
Hizo ni kati ya Threads nilizoziona Humu
Sijamaanisha kam nilikuwa nafananisha watu Hapana....! Naona ulisoma lakini haukuelewa nilicho maanisha
 
Msisahau kumpa kale karisiti ka mashine atakaeibuka kinara
 
Ila mmemuattack sana CCNP Engineer. huyu jamaa anajua kuvimba, hes an engineer anatakiwa vimbaa bana kusomea Engineering si mchezo acha atudharau vilaza sie!.
Najua tungekua na akili tungeshindana nae darasani n' namwambia keep up man!.. Angekua NN kajitapa hivi wote kimya, lile jamaa linajua kutisha!! 🙂..
Jamaa ananiachaga hoi sana.
Ana matusii sometimes
 
madhumuni ya hii battle ni nini?
Hawa walianzia battle yao kwenye magroup yao ya Forex huko TMT wakabiringishana hadi humu JF na promota akaona wanachafua nyuzi za wengine kwa kupeana masingi ndio akaandaa hili pambano akiwa na Msami production, Clouds Media, Mariedo classic e.t.c . Hadi mmoja alipopigwa pigo takatifu juzi akakimbia hadi leo hajaonekana. Ah ah ah ah ah ah ah inachekesha.
 
Back
Top Bottom