Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀 yani yeye kila mtu anagombana nae sasa si matatizo hayo"Ila enginner na wewe unamambo yakisenge saaana nyooko wewe."
Haka kakipande kamenichekesha mno... The Crushing we nyooko sana. Ah ah ah ah ah! Huyu injinia ana mambo ya kiboya sana amegombana na watu kibao sana humu.
Huyu jamaa haki ya nani aombe tu kubadilisha Id maana atajificha wapi kwa madudu yake haya?Huyu jamaa nawasiwasi ni muongo km 2010 form v ilboru that means alimaliza 2012,lakini 2012 hakukuwa na div 1 pt 3 the whole class..View attachment 828987View attachment 828988View attachment 828990
Daah kupatwa kwa injinia... Atajificha wapi maskini[emoji317] [emoji317]Jamani muwe makini na huyu jamaa Engineer mjambaji maana anapenda pia mambo ya uchawi uchawi hivyo hashindwi kumtafuta Mshana amsaidie kumrogea wabaya wake.Ushahidi huu hapaView attachment 829019
Hata pale wenye maono ya mbali walipojaribu kumshauri mambo mama.alikuwa mbogo na kushikilia dhamira yake.View attachment 829020
Amaaaa kweli nimeamini huyu sio Engineer kabisa na MOYO wake ni mkubwa zaidi ya TIKITI MAJI bila shaka.
Ndo hivo mkuu jf sio facebook mtu aje kudanganya akizani kajificha ila Nampa onyo bwana engineer mpaka saiv tumeshajua amesoma O level tabora boys then A level Ilboru, sasa tunampa mda ajitathmini akiendelea tu na ujinga tunaleta hapa mpaka picha za mababu zakeKumbe
Tumeamka na tumerudi shukraniiNgoja niwalindie Uzi wenu,usiibiwe kesho muukute ,muendelee na kuchat ,mlale unono mabinti
Mbona wajijibu mwenyewe [emoji23]Asituaibishe ex special school boys, mbona wapo wengi tu tuliosoma nao ilboru walienda harvard,Yale,MIT na wapo vizuri saaaaaana na wamepotelea hukohuko majuu
Jamaa ana one ya 3 mkuu though alimaliza mwaka tofouti na huo na shule tofouti na hiyo.....Huyu jamaa nawasiwasi ni muongo km 2010 form v ilboru that means alimaliza 2012,lakini 2012 hakukuwa na div 1 pt 3 the whole class..View attachment 828987View attachment 828988View attachment 828990
Na yeye Ontario tutaomba awake yakeHehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..
Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..
Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
Kuna vitu vya mpinzani wangu CCNP Engineer navisoma hapa hadi najikuta nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yake na ufaulu wake na taaluma yake kwa ujumla.....tunajua elimu imeporomoka sana nchini ila sio kwa taaluma ya uinjinia.. Hapana! Ndio maana nasisitiza ili lisiwekwe kama tatizo la watu wa sayansi au fani ya engineer, hili ni tatizo la huyu jamaa Ndezi kuna uwezekano akawa psychopath.... Yuko Very naïve, mediocre and truly insane.
Though, nimecheka sana kwa content yake hiyo hapo chini yenye ujinga na upuuzi uliopita kiwango cha ustaarabu.... Na inatufundisha common sense ndio akili ya kwanza na muhimu kwa mwanadamu, ukikosa common sense huko mmagumu licha ya vyeti vyako vizuri na lukuki. Ingawaje sisi binadamu inabidi tuheshimiane tu na binafsi sichukii yeyote maana atakaenizika simjui.. Na wanaogombana ndio wanaishiaga kuwa marafiki wa kufa na kuzikana ingawaje labda nitangulie kufa mimi injinia anizike lakini akitangulia nikafika mazishini nitacheka sana huko makaburini maana jamaa yangu nilimuona pale TMT kwenye Forex jangid plaza ana kichwa kikubwa sana sasa jeneza lake hopefully litakuwa na muundo kama wa lollipop sababu ya kichwa kikubwa kisicho na common sense. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Injinia tafadhali hebu jitokeze..jionyeshe mbele za waaatu. Maana wanaogombana ndio wanaopatana na udugu ndio hazina yetu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Si ajabu tukaja kuwa washkaji sana maana Mimi sina kinyongo wala ugomvi na wewe ndugu yangu. No need to worry you got a friend here!
Apparently, ngoja niwape hii bonus kidogo wapiga kura wangu waburudike, Hii hapa ingia ucheke https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1237188/
[emoji176]
Haya endeleeni,nitarudi muda wa lindo
Ya kwake inasoma B...Na yeye Ontario tutaomba awake yake
ukiona mtu anajisifia au kutoa povu ujue anapunguza stress mwache tu, ukimzuia atakufa na msongoHehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..
Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..
Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
Huyu msamehe sio kosa lake kumbe katoka Shinyanga ana tatizo kubwa mnoKuna vitu vya mpinzani wangu CCNP Engineer navisoma hapa hadi najikuta nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yake na ufaulu wake na taaluma yake kwa ujumla.....tunajua elimu imeporomoka sana nchini ila sio kwa taaluma ya uinjinia.. Hapana! Ndio maana nasisitiza ili lisiwekwe kama tatizo la watu wa sayansi au fani ya engineer, hili ni tatizo la huyu jamaa Ndezi kuna uwezekano akawa psychopath.... Yuko Very naïve, mediocre and truly insane.
Though, nimecheka sana kwa content yake hiyo hapo chini yenye ujinga na upuuzi uliopita kiwango cha ustaarabu.... Na inatufundisha common sense ndio akili ya kwanza na muhimu kwa mwanadamu, ukikosa common sense huko mmagumu licha ya vyeti vyako vizuri na lukuki. Ingawaje sisi binadamu inabidi tuheshimiane tu na binafsi sichukii yeyote maana atakaenizika simjui.. Na wanaogombana ndio wanaishiaga kuwa marafiki wa kufa na kuzikana ingawaje labda nitangulie kufa mimi injinia anizike lakini akitangulia nikafika mazishini nitacheka sana huko makaburini maana jamaa yangu nilimuona pale TMT kwenye Forex jangid plaza ana kichwa kikubwa sana sasa jeneza lake hopefully litakuwa na muundo kama wa lollipop sababu ya kichwa kikubwa kisicho na common sense. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Injinia tafadhali hebu jitokeze..jionyeshe mbele za waaatu. Maana wanaogombana ndio wanaopatana na udugu ndio hazina yetu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Si ajabu tukaja kuwa washkaji sana maana Mimi sina kinyongo wala ugomvi na wewe ndugu yangu. No need to worry you got a friend here!
Apparently, ngoja niwape hii bonus kidogo wapiga kura wangu waburudike, Hii hapa ingia ucheke https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1237188/
[emoji176]
Aiweke tuione basYa kwake inasoma B...