BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Huyu jamaa nawasiwasi ni muongo km 2010 form v ilboru that means alimaliza 2012,lakini 2012 hakukuwa na div 1 pt 3 the whole class..
Screenshot_2018-08-07-07-00-36.jpeg
Screenshot_2018-08-07-06-56-18.jpeg
Screenshot_2018-08-07-06-55-28.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_2018-08-07-06-55-55.jpeg
    Screenshot_2018-08-07-06-55-55.jpeg
    110.8 KB · Views: 39
"Ila enginner na wewe unamambo yakisenge saaana nyooko wewe."

Haka kakipande kamenichekesha mno... The Crushing we nyooko sana. Ah ah ah ah ah! Huyu injinia ana mambo ya kiboya sana amegombana na watu kibao sana humu.
😀😀😀😀😀 yani yeye kila mtu anagombana nae sasa si matatizo hayo
 
Jamani muwe makini na huyu jamaa Engineer mjambaji maana anapenda pia mambo ya uchawi uchawi hivyo hashindwi kumtafuta Mshana amsaidie kumrogea wabaya wake.Ushahidi huu hapa
Screenshot_2018-08-06-23-09-45.jpg


Hata pale wenye maono ya mbali walipojaribu kumshauri mambo mama.alikuwa mbogo na kushikilia dhamira yake.
Screenshot_2018-08-06-23-12-45.jpg


Amaaaa kweli nimeamini huyu sio Engineer kabisa na MOYO wake ni mkubwa zaidi ya TIKITI MAJI bila shaka.
 
Jamani muwe makini na huyu jamaa Engineer mjambaji maana anapenda pia mambo ya uchawi uchawi hivyo hashindwi kumtafuta Mshana amsaidie kumrogea wabaya wake.Ushahidi huu hapaView attachment 829019

Hata pale wenye maono ya mbali walipojaribu kumshauri mambo mama.alikuwa mbogo na kushikilia dhamira yake.View attachment 829020

Amaaaa kweli nimeamini huyu sio Engineer kabisa na MOYO wake ni mkubwa zaidi ya TIKITI MAJI bila shaka.
Daah kupatwa kwa injinia... Atajificha wapi maskini[emoji317] [emoji317]
 
Hehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..

Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..

Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
 
Hehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..

Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..

Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
Na yeye Ontario tutaomba awake yake
 
Kuna vitu vya mpinzani wangu CCNP Engineer navisoma hapa hadi najikuta nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yake na ufaulu wake na taaluma yake kwa ujumla.....tunajua elimu imeporomoka sana nchini ila sio kwa taaluma ya uinjinia.. Hapana! Ndio maana nasisitiza ili lisiwekwe kama tatizo la watu wa sayansi au fani ya engineer, hili ni tatizo la huyu jamaa Ndezi kuna uwezekano akawa psychopath.... Yuko Very naïve, mediocre and truly insane.

Though, nimecheka sana kwa content yake hiyo hapo chini yenye ujinga na upuuzi uliopita kiwango cha ustaarabu.... Na inatufundisha common sense ndio akili ya kwanza na muhimu kwa mwanadamu, ukikosa common sense huko mmagumu licha ya vyeti vyako vizuri na lukuki. Ingawaje sisi binadamu inabidi tuheshimiane tu na binafsi sichukii yeyote maana atakaenizika simjui.. Na wanaogombana ndio wanaishiaga kuwa marafiki wa kufa na kuzikana ingawaje labda nitangulie kufa mimi injinia anizike lakini akitangulia nikafika mazishini nitacheka sana huko makaburini maana jamaa yangu nilimuona pale TMT kwenye Forex jangid plaza ana kichwa kikubwa sana sasa jeneza lake hopefully litakuwa na muundo kama wa lollipop sababu ya kichwa kikubwa kisicho na common sense. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Injinia tafadhali hebu jitokeze..jionyeshe mbele za waaatu. Maana wanaogombana ndio wanaopatana na udugu ndio hazina yetu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Si ajabu tukaja kuwa washkaji sana maana Mimi sina kinyongo wala ugomvi na wewe ndugu yangu. No need to worry you got a friend here!

Apparently, ngoja niwape hii bonus kidogo wapiga kura wangu waburudike, Hii hapa ingia ucheke https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1237188/

[emoji176]

Aisee iko shida mahali hadi jagi la maji ya kunywa.
 
Hehehehe sikuhizi mtu akikuletea dharau humu bank balance ndio muamuzi wa mwisho..

Kuna watu wana stress zao za maisha wanakuja kuzifutia JF.. injinia kaingia mitini na ID nadhani ataikimbia..

Sasa atakayemtukana Ontario tunaomba nae atoe bank balance yake ambapane na Ontario hehehehehe
ukiona mtu anajisifia au kutoa povu ujue anapunguza stress mwache tu, ukimzuia atakufa na msongo
 
Kuna vitu vya mpinzani wangu CCNP Engineer navisoma hapa hadi najikuta nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yake na ufaulu wake na taaluma yake kwa ujumla.....tunajua elimu imeporomoka sana nchini ila sio kwa taaluma ya uinjinia.. Hapana! Ndio maana nasisitiza ili lisiwekwe kama tatizo la watu wa sayansi au fani ya engineer, hili ni tatizo la huyu jamaa Ndezi kuna uwezekano akawa psychopath.... Yuko Very naïve, mediocre and truly insane.

Though, nimecheka sana kwa content yake hiyo hapo chini yenye ujinga na upuuzi uliopita kiwango cha ustaarabu.... Na inatufundisha common sense ndio akili ya kwanza na muhimu kwa mwanadamu, ukikosa common sense huko mmagumu licha ya vyeti vyako vizuri na lukuki. Ingawaje sisi binadamu inabidi tuheshimiane tu na binafsi sichukii yeyote maana atakaenizika simjui.. Na wanaogombana ndio wanaishiaga kuwa marafiki wa kufa na kuzikana ingawaje labda nitangulie kufa mimi injinia anizike lakini akitangulia nikafika mazishini nitacheka sana huko makaburini maana jamaa yangu nilimuona pale TMT kwenye Forex jangid plaza ana kichwa kikubwa sana sasa jeneza lake hopefully litakuwa na muundo kama wa lollipop sababu ya kichwa kikubwa kisicho na common sense. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Injinia tafadhali hebu jitokeze..jionyeshe mbele za waaatu. Maana wanaogombana ndio wanaopatana na udugu ndio hazina yetu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Si ajabu tukaja kuwa washkaji sana maana Mimi sina kinyongo wala ugomvi na wewe ndugu yangu. No need to worry you got a friend here!

Apparently, ngoja niwape hii bonus kidogo wapiga kura wangu waburudike, Hii hapa ingia ucheke https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1237188/

[emoji176]
Huyu msamehe sio kosa lake kumbe katoka Shinyanga ana tatizo kubwa mno
 
Back
Top Bottom