Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Napitia comment zoteBasi umepitwa sana aisee mchuano umempoteza Engineer wetu kajificha mahandakini sijui wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napitia comment zoteBasi umepitwa sana aisee mchuano umempoteza Engineer wetu kajificha mahandakini sijui wapi
AsanteBwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.
Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji176]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we nae mnafiki eti hapo umemteteaWw promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...
Sasa hv anaiogopa hadi ID yake huko alipo.Hahahahaha jamaa alikua na mbwembwe za kufa MTU aseee
[emoji13] [emoji13] [emoji13] hatari kubwaaaSasa hv anaiogopa hadi ID yake huko alipo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupe kidogo ilikuaje mkuuHuyu @CCNP lazima atafungua ID nyingine,jf sio sehemu ya mchezo mchezo,miaka ya nyuma alikuwepo member anajiita Mpiga msuli alisoma shule maalum Tabora boy alitukana sana watu kua yuko vizuri,siku akaingia anga za mtu zikaletwa mpaka picha za kwao kibaha,hawajawahi onekana humu toka miaka ile,jf naigopa kama ukimwi
Yaan umepitwa anza kusoma upya uchekeeJana ulivyonambia nije huku hata sikukuelewa nlikua na wenge za kutosha kichwani ....Leo sasa nimeelewa ulinambia nini
Nimeshaanza shooo dah sijui ilikuwaje mpaka nikapitwaYaan umepitwa anza kusoma upya uchekee
Trump tower misssiuuuWw promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...
We ulikuwa umekazana na mapugi huku kuna mwanaume Humble ana pesa hadi zimezuiwa na benki atoe maelezo kazipataje achana na wanaume wenye maneno mengii njoo huku tupambane na humble tupelekwe IbizaNimeshaanza shooo dah sijui ilikuwaje mpaka nikapitwa
Me too mama S. Nakuona tuu unavyo mpa kura yako ya ndiyo.Trump tower misssiuuu
Shoga nipo mbeleee kama alivyosema mkuu wa nchi ....tusimame hapa tudange haswaaaaa mpaka roho ziwatokeWe ulikuwa umekazana na mapugi huku kuna mwanaume Humble ana pesa hadi zimezuiwa na benki atoe maelezo kazipataje achana na wanaume wenye maneno mengii njoo huku tupambane na humble tupelekwe Ibiza
Mimi Humble mshikaji kitambo siwezi kuwa upande wenu kabisaMe too mama S. Nakuona tuu unavyo mpa kura yako ya ndiyo.
Alaaaa kumbe kitu ganii kudanga lazimaShoga nipo mbeleee kama alivyosema mkuu wa nchi ....tusimame hapa tudange haswaaaaa mpaka roho ziwatoke
Hapo chacha .........[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji122] [emoji122]Alaaaa kumbe kitu ganii kudanga lazima
Teh. Teh. Sasa mama S kudamshi kwa injinia makenikia ndo leo mwisho?...maana mnavyomnyali mchenjuaji wetu kama vile zile noah aliwaahidi yeye....Mimi Humble mshikaji kitambo siwezi kuwa upande wenu kabisa
Wacha niongee mme ake niLale mieHapo chacha .........[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji122] [emoji122]
Usiku mwemaWacha niongee mme ake niLale mie
Ahhahahahahahha kesho banaTeh. Teh. Sasa mama S kudamshi kwa injinia makenikia ndo leo mwisho?...maana mnavyomnyali mchenjuaji wetu kama vile zile noah aliwaahidi yeye....