BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Bwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.

Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji176]
Asante
 
Ww promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we nae mnafiki eti hapo umemtetea
 
Huyu @CCNP lazima atafungua ID nyingine,jf sio sehemu ya mchezo mchezo,miaka ya nyuma alikuwepo member anajiita Mpiga msuli alisoma shule maalum Tabora boy alitukana sana watu kua yuko vizuri,siku akaingia anga za mtu zikaletwa mpaka picha za kwao kibaha,hawajawahi onekana humu toka miaka ile,jf naigopa kama ukimwi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupe kidogo ilikuaje mkuu
 
Ww promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...
Trump tower misssiuuu
 
Nimeshaanza shooo dah sijui ilikuwaje mpaka nikapitwa
We ulikuwa umekazana na mapugi huku kuna mwanaume Humble ana pesa hadi zimezuiwa na benki atoe maelezo kazipataje achana na wanaume wenye maneno mengii njoo huku tupambane na humble tupelekwe Ibiza
 
We ulikuwa umekazana na mapugi huku kuna mwanaume Humble ana pesa hadi zimezuiwa na benki atoe maelezo kazipataje achana na wanaume wenye maneno mengii njoo huku tupambane na humble tupelekwe Ibiza
Shoga nipo mbeleee kama alivyosema mkuu wa nchi ....tusimame hapa tudange haswaaaaa mpaka roho ziwatoke
 
Back
Top Bottom