BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

tuachane na elimu yako kwa muda.

kwa sasa tanzania kuna miradi mingi inayoendelea ikihusiana na masuala ya ukandarasi,tuambie katika fani yako ya uhandisi umeshiriki katika mradi gani au kwa sasa upo katika mradi wenye tija kwa taifa na unashiriki kama nani?.

nimeuliza kwa nia njema tu.
 
mmnh haya...mpaka watafutane in real life wauwane wewe endelea kununua hayo ma coke baridiii
Hawawezi uana i know these guys... they are both forex traders ... ni beef za traders zinaishiaga kwenye hela tu
 
Tunashukuru mkuu kwa kuibuka katika mtanange huu,tunakuomba utuelezee kidogo kuhusu huyu mpinzani wako maana promota nimetembelea baadhi ya nyuzi na kukuta mashambulizi kwako ni makali sana je una lolote la kuwaambia wapiga kura?
Bwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.

Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji176]
 
Hahahaha
 
CCNP Engineer Humble African huku kaonesha salio lililomo kwenye account yake na document kadhaa......

Naomba screenshot ya salio la account tumalize mchezo mapema mkuu.....
 
Pasina na shaka na imani bwana CCNP Engineer hatotuangusha wanasayansi wenzake.......

Kwa heshima yangu screenshot itasoma kwenye huu uzi muda si mrefu......
Yaani nisipokuwepo huwa anachonga ila nikitokea nduuuki anarudi shimoni haraka kama hivi kiiiiimy...! Mjambaji na screenshot yetu...njoo tunakusubiri hapa Mimi na wapiga kura wangu. [emoji16]
 
Nimefurahi kukuona mkuu kadoda11

Yaani uwepo wako na ile misako yako ya kibabe unayowapaga Wakenya... Huyu Ndezi leo akitoka ana Mungu. [emoji16]
 
Yaani nisipokuwepo huwa anachonga ila nikitokea nduuuki anarudi shimoni haraka kama hivi kiiiiimy...! Mjambaji na screenshot yetu...njoo tunakusubiri hapa Mimi na wapiga kura wangu. [emoji16]View attachment 827645
Humble African unamzungumziaje huyu CCNP Engineer hasa kutokana na namna anavyokuchafua katika nyuzi za watu wwngine .Maswali yangu
-Je huyu ni engineer kweli
-Unahisi hii tabia unaweza kuikomesha kwa njia gani
-Je ni picha gani uliyonayo juu ya huyu mpinzani wako?.
 
Nimefurahi kukuona mkuu kadoda11

Yaani uwepo wako na ile misako yako ya kibabe unayowapaga Wakenya... Huyu Ndezi leo akitoka ana Mungu. [emoji16]
Humble African nlikwambia kubishana na watu kama hawa ni kujidhalilisha,hv hujui wasomi wa sayansi ndo wanaongoza kwa uchizi afu mfukoni hamna kitu? Huyu hapa mjini bila udsm angepaskia bombani we achna nae tu
 
Bhasi tosha mkuu..
Tuachane na huyo jamaa nahitaji mkopo nikapambane Forex
 
Hajielewi sana huyu jamaa kuna Uzi mmoja wa mgonjwa folk alikuwa anahitaji msaada kipindi kile yeye akaanza kuvurumusha matusi hadi kila mtu akamshangaa. Aache hii tabia ya kutukana kila sehemu haimsaidii bali inambomoa sana.

Duh! Kwa akili yake inavyofanya kazi siamini kama atakuwa injinia maana sitaki kuamini kama hadhi ya uinjinia imeshuka hivi... Siamini! He is too mediocre and shallow sana. Yaani hata Mimi naamini namshinda kuelezea theory za astrophysics deep kuliko yeye aliesoma physics na kupata A na akija hapa Mimi na yeye tuizumgumzie theory of relativity uone atakavyo mangamanga... Au sijui ana zile style za ndugu zangu wa kihaya w kale unamkuta mtu ni anasaga mashineni lakini ukimuuliza taaluma yake utasikia "I'm monocotyledons grinding technician" [emoji16][emoji16] hataki kusema Mimi ni msaga mashine wa pale kinyerezi. Kuna uwezekano akawa anakibanda cha kurepair simu pale ubungo then na yeye anajiita engineering wa software, hatari kujiita Fundi simu... Shiit!

Tutaikomesha tabia za watu wenye chuki zisizo na msingi za kutukana wenzao mtandaoni kwa kuwafungulia Uzi kama hivi na kuzaa nao kama hivi..
Tunavyozaa nae huyu.

Ahahaha!! Picha niliyonayo ya mpinzani wangu ni ya kuchekesha saana na ni silaha yangu ya maangamizi kwake siku akinisumbua zaidi namvurumushia hii picha yake kama shambulio la mwisho la nyuklia. Pigo takatifu... Chukua hii hapa mkuu kama bonus... Ndio huyo mwenye suruali kama limfuko la mashineni la kukung'utia unga...[emoji16][emoji16][emoji16]

Ameshaweka screenshot yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…