Da rebe na hakika hutanisahau
Hehe usijali... Im on ma wayUniletee na mimi
Eti Humble zile akaunt zako zingine ambazo ushazisahau utupatir mi na Da Rebecca tupunguze kushinda jfKimsimgi huyu jamaa anakera sana asee. Na Mungu anaona huyu akiwa na hela atasumbua sana wenzake sasa kampa ma AAA yasiyo na maana kwake ili asisumbue wenzake chini ya jua.
He is done!
Huenda hata sio injinia mbona mpuuzi sana. Tusije tukawa tunabishana na katoto ka juziKimsimgi huyu jamaa anakera sana asee. Na Mungu anaona huyu akiwa na hela atasumbua sana wenzake sasa kampa ma AAA yasiyo na maana kwake ili asisumbue wenzake chini ya jua.
He is done!
Ulivyoandika BECKY umenikumbusha movie ya Nollywood. Ya Ramsey Noah pamoja na Omotola Jerade inaitwa True lovemie nilishawahi kuwaza hivyo hivyo mkuu,nikaconclude jobless sio Becky peke yake,kila nikiingia humu naona watu wanajimwaga id zile zile hahaa
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. QUOTE]
Shem tatizo lako huwa unanikandia sometimes na hukai upande wangu ndio maana nascratch kutoa maamuzi rahisi. Ila sio siri mkwanja ninao hadi bank huko England wameblock. [emoji109]jamani mnikopeshe tumilion 30,yes tumilion 30,lol ,nataka njijiajiri nisishinde humu,im serious....
Pugi manake nn?Aitheeee nshakuwa pugi tena astaghfirullah.....
Kwasisi watu wenye busara zetu huwa tunasema Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Ya kwangu umepataBwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.
Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji176]
Ni mwanaume mwenye tabia za kike kikePugi manake nn?
Watu walinganishe hizo dot na hz afu wajiulize jee hawa ni watu tofauti?Hata Mimi nilikuja kujua majuzi tu na nililazimika kuungainsha dots flani hivi ikiwemo hii. Baada ya yeye kuanza kumtusi hadi Mungu... Huyu atakuwa mwehu sio bure.View attachment 827677
[emoji16] [emoji16] [emoji16] mama Sabrina banaWeweeeee hureeee mpaka hapa ushashinda soon naona usingle unauaga hivi hivi [emoji23][emoji23][emoji23] (wadada mlioko single jf hio ndio chansi ya kummiliki si mnajua watoto hutulia kwenye pesa) waje hata wazinyonye hizo kucha nzuri
Mwanaume pesa bana tena ajue na kuitumia ama nene Humble,kuanzia leo tumekupa daraja lako humu jf
Ndugu yangu! Endelea kufurahia Huduma zangu.
1: Mimi hapo tu kwenye bold nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
2: samahani kwa macho yangu kuwa makali nimeona kama jina la maputo bartender kwenye hii screenshot
Shem tatizo lako huwa unanikandia sometimes na hukai upande wangu ndio maana nascratch kutoa maamuzi rahisi. Ila sio siri mkwanja ninao hadi bank huko England wameblock. [emoji109]
Samahani! Umenionea injinia huko?
Ombi langu kwa Mungu ..upatiwe huo mkopo ili niwe hata kibarua wakojamani mnikopeshe tumilion 30,yes tumilion 30,lol ,nataka njijiajiri nisishinde humu,im serious....
Ombi langu kwa Mungu ..upatiwe huo mkopo ili niwe hata kibarua wako
Wewe tena! Wewe ni mtu mzuri sana hunaga makuu wala shobo... Nakukubali sana tu. Na kura yako nimeipokea kwa moyo wote. Shukrani.Ya kwangu umepata
Ulivyoandika BECKY umenikumbusha movie ya Nollywood. Ya Ramsey Noah pamoja na Omotola Jerade inaitwa True love
Becky