BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Huyu injinia nilivyoona anavyojitapa na AAA zake za ADVANCE, nilianza kumfuatilia, ila nilipopitia thread zake chache nkagundua ni miongoni mwa wagonjwa vichaa tulio nao... Dunia ya sasa ni mkwanja, na hata km una AAA zako sasa hivi una nn. Amenikumbusha jamaa yangu aligraduate last yr telecommunications daily anaomba nimsaidie pesa tena pesa zenyewe ndogo
 
Humble African nlikwambia kubishana na watu kama hawa ni kujidhalilisha,hv hujui wasomi wa sayansi ndo wanaongoza kwa uchizi afu mfukoni hamna kitu? Huyu hapa mjini bila udsm angepaskia bombani we achna nae tuView attachment 827663
Umenchekesha sana mkuu! Kila nikiionaga hiyo screenshot nacheka saana.

Kimsimgi najaribu sana kumpuuza ila jamaa anakuja mzima sana kila sehemu anaongea shiit na Mimi sina budi zaidi ya kumpa makonzi tu.

Yaani nikifika tu hapa anatoka nduki [emoji16][emoji16][emoji16].. muda huu Sijui kaishafika wapi?
 
Dah CCNP Engineer anazingua pambano linapoa watu jasho zinakauka maana mwanzo alikuja kwa nguvu nyingi but kapotea. Anyway tuendelee mkuu Humble African Kama masharti ya mtanange yalivyo kuwa unaruhusiwa kutumia taarifa za humu jukwaani kutuonyesha madhaifu ya mpinzani wako ili kuteka kura kwa wapiga kura labda hapa sijui una nn cha kutuambia.
 
Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.

Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.

Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.

Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?

Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.

Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina

Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.

Kila la kheri!

View attachment 827601View attachment 827602
Basi sawa!
 
Mkuu kwema? Hatuonani ndugu yangu? Kiiimya sana. Nimefurahi kukuona hapa.
Nakukubali sana, maana unadharau wanaokudharau tu. Tofauti na injinia kapuku daily matusi hiyo ni kudhihirisha hana kitu.... Half sijui kwanini huwa anakimbia ukijitokeza[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Bwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.

Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji176]
[emoji23]
 
Nakukubali sana, maana unadharau wanaokudharau tu. Tofauti na injinia kapuku daily matusi hiyo ni kudhihirisha hana kitu.... Half sijui kwanini huwa anakimbia ukijitokeza[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu Nakukubali pia na uungwana ni vitendo nauona uungwana wako kwenye nyuzi nyingi tu humu JF. Nashangaa kwanini huyu ndugu yetu hana uungwana?

Najitahidi sana kumdharau na kumkwepa but ananichokoza mwenyewe na nikifika ananikimbia hawezi kunikabili.

I wish common sense were even more common Dunia ingekuwa sehemu nzuri sana ya kuishi.
 
Hajielewi sana huyu jamaa kuna Uzi mmoja wa mgonjwa folk alikuwa anahitaji msaada kipindi kile yeye akaanza kuvurumusha matusi hadi kila mtu akamshangaa. Aache hii tabia ya kutukana kila sehemu haimsaidii bali inambomoa sana.

Duh! Kwa akili yake inavyofanya kazi siamini kama atakuwa injinia maana sitaki kuamini kama hadhi ya uinjinia imeshuka hivi... Siamini! He is too mediocre and shallow sana. Yaani hata Mimi naamini namshinda kuelezea theory za astrophysics deep kuliko yeye aliesoma physics na kupata A na akija hapa Mimi na yeye tuizumgumzie theory of relativity uone atakavyo mangamanga... Au sijui ana zile style za ndugu zangu wa kihaya w kale unamkuta mtu ni anasaga mashineni lakini ukimuuliza taaluma yake utasikia "I'm monocotyledons grinding technician" [emoji16][emoji16] hataki kusema Mimi ni msaga mashine wa pale kinyerezi. Kuna uwezekano akawa anakibanda cha kurepair simu pale ubungo then na yeye anajiita engineering wa software, hatari kujiita Fundi simu... Shiit!

Tutaikomesha tabia za watu wenye chuki zisizo na msingi za kutukana wenzao mtandaoni kwa kuwafungulia Uzi kama hivi na kuzaa nao kama hivi..
Tunavyozaa nae huyu.

Ahahaha!! Picha niliyonayo ya mpinzani wangu ni ya kuchekesha saana na ni silaha yangu ya maangamizi kwake siku akinisumbua zaidi namvurumushia hii picha yake kama shambulio la mwisho la nyuklia. Pigo takatifu... Chukua hii hapa mkuu kama bonus... Ndio huyo mwenye suruali kama limfuko la mashineni la kukung'utia unga...[emoji16][emoji16][emoji16]

Ameshaweka screenshot yake?View attachment 827665View attachment 827666View attachment 827667
Kuna wageni hapa jf hawamjui huyu jamaa ndo maana wanamshobokea kwa taarifa zao wambie kuwa zamani alikuwa anajiita Padre mcharo akapigwa ban ndo akaja na hii account mpya
 
Mkuu Nakukubali pia na uungwana ni vitendo nauona uungwana wako kwenye nyuzi nyingi tu humu JF. Nashangaa kwanini huyu ndugu yetu hana uungwana?

Najitahidi sana kumdharau na kumkwepa but ananichokoza mwenyewe na nikifika ananikimbia hawezi kunikabili.

I wish common sense were even more common Dunia ingekuwa sehemu nzuri sana ya kuishi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umemtibua hapo atatafuta pay in slip za washkaji au screenshot za washkaji azitupie kuonyesha ni greater, wakati level zake ni kuondoka na nywele alizonyolewa na kukopa bank milioni 5 na kusepa tena na AAA ZAKE wakt kuna michizi naifahamu ilikomba zaidi ya milioni 500 bank tena CRDB ikatambaa na now inadunda tu mjini..
 
Dah CCNP Engineer anazingua pambano linapoa watu jasho zinakauka maana mwanzo alikuja kwa nguvu nyingi but kapotea. Anyway tuendelee mkuu Humble African Kama masharti ya mtanange yalivyo kuwa unaruhusiwa kutumia taarifa za humu jukwaani kutuonyesha madhaifu ya mpinzani wako ili kuteka kura kwa wapiga kura labda hapa sijui una nn cha kutuambia.
Ahahaha!! Promota unaijua kazi yako vizuri sana... Kama Don King vile...!

Kwa ninavyofahamu hakuna engineer anaewaza ujinga kama huyu hapa...!
IMG_20180801_161928_971.jpg
 
Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.

Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.

Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.

Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?

Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.

Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina

Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.

Kila la kheri!

View attachment 827601View attachment 827602
Weweeeee hureeee mpaka hapa ushashinda soon naona usingle unauaga hivi hivi [emoji23][emoji23][emoji23] (wadada mlioko single jf hio ndio chansi ya kummiliki si mnajua watoto hutulia kwenye pesa) waje hata wazinyonye hizo kucha nzuri

Mwanaume pesa bana tena ajue na kuitumia ama nene Humble,kuanzia leo tumekupa daraja lako humu jf
 
Kuna wageni hapa jf hawamjui huyu jamaa ndo maana wanamshobokea kwa taarifa zao wambie kuwa zamani alikuwa anajiita Padre mcharo akapigwa ban ndo akaja na hii account mpya
Hata Mimi nilikuja kujua majuzi tu na nililazimika kuungainsha dots flani hivi ikiwemo hii. Baada ya yeye kuanza kumtusi hadi Mungu... Huyu atakuwa mwehu sio bure.
Screenshot_2018-07-31-03-29-30.jpg
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umemtibua hapo atatafuta pay in slip za washkaji au screenshot za washkaji azitupie kuonyesha ni greater, wakati level zake ni kuondoka na nywele alizonyolewa na kukopa bank milioni 5 na kusepa tena na AAA ZAKE wakt kuna michizi naifahamu ilikomba zaidi ya milioni 500 bank tena CRDB ikatambaa na now inadunda tu mjini..
Kimsimgi huyu jamaa anakera sana asee. Na Mungu anaona huyu akiwa na hela atasumbua sana wenzake sasa kampa ma AAA yasiyo na maana kwake ili asisumbue wenzake chini ya jua.

He is done!
 
Back
Top Bottom