amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
haya ila kesho imefika sema baadaeInaweza kuwa zaidi au ile mliokubaliana kesho....
Kesho ata confirm Mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya ila kesho imefika sema baadaeInaweza kuwa zaidi au ile mliokubaliana kesho....
Kesho ata confirm Mkuu...
Dah hii JF itakuja kunisababishia tatizo la mbavu ninavyoona sasaKUra yangu nlitaka kumpa CCNP Engineer ila tatizo ni kua Humble African anatuma na scrini shoti za Uzi alizoanzisha jamaa...ASA kama MTU anajamba kwenye dalalada AF analeta uzi..ukimpa kura CCNP Engineer manake ni kua umeunga mkono kitendo cha ujambaji ovyo..na unakuwa mwanachama halali wa jambajamba fc
Kama uliyasoma na ukafaulu sina neno na wewe(respect kwako)..PCM,PCB,PGM ni masomo rahis kuliko masomo yote duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama uliyasoma na ukafaulu sina neno na wewe(respect kwako)..
Lkn kama uliambiwa basi mwambie aliekwambia Mungu anamuona
Hahahaaaa..Tobaaaa wewe dada upigiwi
Ukiona unataka ucheze
Embu tuliza kipururu icho
Hilo ndo la msingi sio kutukana watu hovyo haipendezi na inaonyesha ni kukosa ustaarabuHapa atakuja mwenyewe kujielezea but ameniambia tu this time akirudi atarudi kuwa mtu poa na atakuja na nyuzi zinazojenga na kufikrisha.......
[emoji23] [emoji23]Mi hua najisemea kua nakesha sana jf kwakua sina kazi. Na wenzangu ni hivyo hivyo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]breaking news
engineer ajinyonga
Hazitoshi kuwajaza hawa warembokwani huna?
Hahahaa ukweli huu inabidi humble African aje abalansi mzani huuSio sahihi kuhitimisha kuwa Humble African anamzidi Engeneer kiuchumi. Utajiri hua unapimwa kwa Net Asset yaani Asset-Liability. Sasa huyo Humble ameonyesha Cash, hajaonyesha upande WA pili WA liabilities (Madeni). By the way, tukubaliane CCNP anahazina kubwa kichwani, kupata cheti cha CCNP ENGENEER sio mchezo. Tatizo la Engeneer ni kukosa maadili, BASI!!!
Humble Abalansi vipi wakati anaeshindana nae kaonyeshwa milioni tano tu na mkebe katoka mbio hadi leo ajaonekana. Ah ah aha ah ahHahahaa ukweli huu inabidi humble African aje abalansi mzani huu
[emoji23] [emoji23]Humble Abalansi vipi wakati anaeshindana nae kaonyeshwa milioni tano tu na mkebe katoka mbio hadi leo ajaonekana. Ah ah aha ah ah
Humble Abalansi vipi wakati anaeshindana nae kaonyeshwa milioni tano tu na mkebe katoka mbio hadi leo ajaonekana. Ah ah aha ah ah[emoji23] [emoji23]
Injinia anafuatilia hati ili aje rasmi rasmiHumble Abalansi vipi wakati anaeshindana nae kaonyeshwa milioni tano tu na mkebe katoka mbio hadi leo ajaonekana. Ah ah aha ah ah
Mimi alinifurahisha sana injinia alivokuwa anatamba kabla ya humble kutimba kuanzia page ya 1 hadi ya 11 alitamba sana then ya 12 hadi 77 hajaonekana hata kwa bahati mbaya. Ah ah ah ah ah
Injinia alishanitukanaga sana sasa na Mimi nilikuwa nakimbiza mwizi kimya kimya... Kuadhirika kwake Mimi ni kicheko hadi gego la mwisho. Ah ah ah ah
Hati gani? Hati fungani au? Kwa ile aibu hata Mimi bora nije na ID mpya kuliko kuvumilia fedhea na dhiaka ile.Injinia anafuatilia hati ili aje rasmi rasmi
Hatari kwa injinia aje tu aombe wadau msamahaHati gani? Hati fungani au? Kwa ile aibu hata Mimi bora nije na ID mpya kuliko kuvumilia fedhea na dhiaka ile.