Mwaweza kuwa na hz variety nyingi lakini idadi yao kwenye jamii ikawa ndogo sana! Na ndivyo ilivyo!Kenya kuna higher variety. Tanzania ni dominantly Bantu. Kenya ni Bantu, Nilote na Cushite kaka.
Ni kweli but hata sisi tuna nilotes na cushites japo sio wengi, hivi unadhan wahadzabe, wairaq, wamasai n.k ni wabantu?Kenya Wabantu ndio wengi T.Z Wabantu ni wengi. Sasa tofauti ya Bantu wa T.Z na KE ni ipi? Bantu wote walitoka Congo/Cameroon na karibu wote wanafanana kwani walitoka Central Afrika. Wewe endelea Kula viazi kwa shamba na kulima mboga.
Umeandika vizuri aiseeNi kweli but hata sisi tuna nilotes na cushites japo sio wengi, hivi unadhan wahadzabe, wairaq, wamasai n.k ni wabantu?
Wabantu wa tz wana varieties pia yaan ukija kwenye haiba na mwonekano kwa ujumla, yaani ukienda kanda ya ziwa utapata wahaya na waangaza yan hawa kidogo wame mix na wanyarandwa yaani ni shida pia kuna wasukuma wana miili flan hivi heavy,
ukija kanda ya kati utakutana na warangi, wanyaturu na wanyiramba yan hao ni kama shombe flan hivi, weupe, warefu, wembamba na visura flan hivi,
ukija nyanda za juu kusini unapata wale walio jazajaza japo hawajaenda hewan sana kama usukuman na kanda ya ziwa kwa ujumla,
ukija kanda ya pwani yani huko ndio balaa na mapenzi yalizaliwaga huko halaf wamemix na watu wa mashariki ya kati so chotara flan hivi wa kiarabu, hapo wapenda vijuba hawatokag salama, mapishi na mahaba ya swahili culture yamelowea ukanda huo.
Kanda ya kaskazini utakutana na wairaq kule manyara hao manzi ni shida asee, though sio wabantu, pia huko utapata mamanzi wa kichaga, kimasai, kimeru, na kiarusha wapo hot mbaya.
TZ ukija kichwakichwa utahonga shamba la urithi, kuweni makin sana. TZ women are the best.
Shukran, tunaomba mnyumbuliko wa mamanzi wa kikenya ili na sisi tujue varieties zinazopatikana hukoUmeandika vizuri aisee
Pia Rukwa kuna wafipa ,manzi ni maji ya kunde,na weupe manzi zina shape za kimiss namba 6,8 aah hadi rahaNi kweli but hata sisi tuna nilotes na cushites japo sio wengi, hivi unadhan wahadzabe, wairaq, wamasai n.k ni wabantu?
Wabantu wa tz wana varieties pia yaan ukija kwenye haiba na mwonekano kwa ujumla, yaani ukienda kanda ya ziwa utapata wahaya na waangaza yan hawa kidogo wame mix na wanyarandwa yaani ni shida pia kuna wasukuma wana miili flan hivi heavy,
ukija kanda ya kati utakutana na warangi, wanyaturu na wanyiramba yan hao ni kama shombe flan hivi, weupe, warefu, wembamba na visura flan hivi,
ukija nyanda za juu kusini unapata wale walio jazajaza japo hawajaenda hewan sana kama usukuman na kanda ya ziwa kwa ujumla,
ukija kanda ya pwani yani huko ndio balaa na mapenzi yalizaliwaga huko halaf wamemix na watu wa mashariki ya kati so chotara flan hivi wa kiarabu, hapo wapenda vijuba hawatokag salama, mapishi na mahaba ya swahili culture yamelowea ukanda huo.
Kanda ya kaskazini utakutana na wairaq kule manyara hao manzi ni shida asee, though sio wabantu, pia huko utapata mamanzi wa kichaga, kimasai, kimeru, na kiarusha wapo hot mbaya.
TZ ukija kichwakichwa utahonga shamba la urithi, kuweni makin sana. TZ women are the best.
Kwa nyongeza atang'olewa meno bila ganzi.Acha kufananisha madem wa kibongo na vitu vya kijinga.
Yan demu anakunya kwenye flying toilets then unamcompare na mbongo? are you ok upstairs kweli?
We kama umepata manzi hapo kibera tulia tu, sio kumfananisha na mbongo.
Hao madem wa kenya ni kama madume flan hivi, yan wana overconfidence kitu kinachowafanya kupoteza haiba ya kike, yan zile romantic pozi za kike hawana kabisa, we huoni waume zao wanavyobondwa?? Subir na wewe ung'olewe meno.
Hahaha, ayseeAcha kufananisha madem wa kibongo na vitu vya kijinga.
Yan demu anakunya kwenye flying toilets then unamcompare na mbongo? are you ok upstairs kweli?
We kama umepata manzi hapo kibera tulia tu, sio kumfananisha na mbongo.
Hao madem wa kenya ni kama madume flan hivi, yan wana overconfidence kitu kinachowafanya kupoteza haiba ya kike, yan zile romantic pozi za kike hawana kabisa, we huoni waume zao wanavyobondwa?? Subir na wewe ung'olewe meno.
Same for Kenya. Tuanze na Wanaloti. Kuna River lake Nilotes kama Waluo, Plain nilotes kama wamasai, highland nilotes kama wakalenjin(wanariadha wa Kenya). Na wote hukaa tofauti sana. Kuna Wabantu wa western bantus waliopitia route ya Uganda Kuingia Kenya kama Waluhya then kuna Eastern Bantus waliotumia route ya Tanzania kama Wakikuyu, Wakamba na Wataita. Na hawa wabantu hukaa tofauti kabisa ata kwa kuwatazama. Then Kuna Cushites North Eastern Kenya, Majority ya Cushites ni Northern Cushites. Wasomali ndio wengi zaidi Kenya, then kuna Oromo(kabila kubwa kabisa Ethiopia) wako Kenya pia. Na northern Cushites hukaa tofauti sana na Iraqwi wenu. Pia kama unavyoelewa kuna sisi wengine, kuna waAsia na KunaWazungu. Kenya ni more diverse than any East African country. Ukitaka wakenya wanakaa waEthiopia utawapata Kenya, ukitaka wanakaa wasudan utawapata Kenya, ukitaka wanakaa wa Tanzania ama waUganda utawapata Kenya. Kama umezoea kuwatch mpira wa Kenya, wengi wa wachezaji ni Wajaluo, kwa riadha ni wakalenjin n.k.Ni kweli but hata sisi tuna nilotes na cushites japo sio wengi, hivi unadhan wahadzabe, wairaq, wamasai n.k ni wabantu?
Wabantu wa tz wana varieties pia yaan ukija kwenye haiba na mwonekano kwa ujumla, yaani ukienda kanda ya ziwa utapata wahaya na waangaza yan hawa kidogo wame mix na wanyarandwa yaani ni shida pia kuna wasukuma wana miili flan hivi heavy,
ukija kanda ya kati utakutana na warangi, wanyaturu na wanyiramba yan hao ni kama shombe flan hivi, weupe, warefu, wembamba na visura flan hivi,
ukija nyanda za juu kusini unapata wale walio jazajaza japo hawajaenda hewan sana kama usukuman na kanda ya ziwa kwa ujumla,
ukija kanda ya pwani yani huko ndio balaa na mapenzi yalizaliwaga huko halaf wamemix na watu wa mashariki ya kati so chotara flan hivi wa kiarabu, hapo wapenda vijuba hawatokag salama, mapishi na mahaba ya swahili culture yamelowea ukanda huo.
Kanda ya kaskazini utakutana na wairaq kule manyara hao manzi ni shida asee, though sio wabantu, pia huko utapata mamanzi wa kichaga, kimasai, kimeru, na kiarusha wapo hot mbaya.
TZ ukija kichwakichwa utahonga shamba la urithi, kuweni makin sana. TZ women are the best.
Hiyo ndiyo tofauti ya mademu wa kijamaa na mademu wa kibepari Kenya mademu ni mabepari wakati tz mademu ni wajamaando maisha hayo...bila makaratasi dem mkenya hupati ng'o
Lakini naona Watanzaia wa siku hizi ni wabepari. Wameutupa ujamaa waoHiyo ndiyo tofauti ya mademu wa kijamaa na mademu wa kibepari Kenya mademu ni mabepari wakati tz mademu ni wajamaa
Ndiyo ujamaa umepungua tz ila siyo Kenya akuna kabisa ndo mana hata kupeana salamu ni shida demu mjamaa siyo mnyonyaji wala mkorofiLakini naona Watanzaia wa siku hizi ni wabepari. Wameutupa ujamaa wao
Basi wasichana wa T.Z ni rahisi kutongoza kama hawaangalii mambo ya pesa.Ndiyo ujamaa umepungua tz ila siyo Kenya akuna kabisa ndo mana hata kupeana salamu ni shida demu mjamaa siyo mnyonyaji wala mkorofi
very cheap.Basi wasichana wa T.Z ni rahisi kutongoza kama hawaangalii mambo ya pesa.
Sasa kama huna taarifa eneo pekee Africa lenye nilotes, kushets, na bantus almost equal ni TanzaniaKenya kuna higher variety. Tanzania ni dominantly Bantu. Kenya ni Bantu, Nilote na Cushite kaka.
Wanawake wengi wa Tanzania ni weupe tatizo Kenya kila mwanamke mweupe ni mkorogoDemu wa Bongo shida mkorogo. Mnakera sana.
90per cent ya tanzania ni pure bantus.Sasa kama huna taarifa eneo pekee Africa lenye nilotes, kushets, na bantus almost equal ni Tanzania
Iraqw people - Wikipedia