Battle: Lilongwe VS Mbeya

Battle: Lilongwe VS Mbeya

Mfano ukisoma kidogo tu gogle maana sijawahi fika lilongwe.

Kwanza ina watu wengi kuliko mby, 9m wakat mby ni 6m.

Piah kwa haraka haraka kwenye picha inaonesha lilongwe ina majengo marefu mengi kuliko mby, na hii inatokana na kuwa n makao makuu ya serikari.

Hivo nazan labda lilongwe ifananishwe na dodoma kwasababu ni miji inayojengwa na serikari.

Mby ni inasimama yenyewe na wafanyabisashara wa pale pale mby. Mby hawana barabara nzuri na hata mipango miji yakueleweka hivyo sijui tuseme nin??

Labada mfanano uwe wa chakula, hali ya hewa na vingine ambavyo ni Mungu kaweka ila sio man made hahaha.
 
Mfano ukisoma kidogo tu gogle maana sijawahi fika lilongwe.

Kwanza ina watu wengi kuliko mby, 9m wakat mby ni 6m.

Piah kwa haraka haraka kwenye picha inaonesha lilongwe ina majengo marefu mengi kuliko mby, na hii inatokana na kuwa n makao makuu ya serikari.

Hivo nazan labda lilongwe ifananishwe na dodoma kwasababu ni miji inayojengwa na serikari.

Mby ni inasimama yenyewe na wafanyabisashara wa pale pale mby. Mby hawana barabara nzuri na hata mipango miji yakueleweka hivyo sijui tuseme nin??

Labada mfanano uwe wa chakula, hali ya hewa na vingine ambavyo ni Mungu kaweka ila sio man made hahaha.
Mmh Bro wataka kusema population ya Mbeya inalingana na ya Dar es salaam!!??
 
Dah,it's unfair to compare Lilongwe na Mbeya...
Hiyo Mwanza tu ikasome kwa Lilongwe, ukubwa ni almost sawa na Dsm.. waulize madereva wa Malory watakuambia kuhusu Lilongwe.
Mbeya ifananishe na Mzuzu, Mzuzu ni jiji ambalo geographically ni padogo lakini Kuna vitu Vipo Mzuzu,Mbeya havipo,mfano Supermarkets
Hii picha ni ya Mzuzu
mzuzu-malawi-the-capital.jpg
 
Acha dharau, Lilongwe ni jiji kuu la nchi.

Kwa hapa Tz ni Dar tu, majiji mengine yote hayawezi kufikia hata Bujumbura ya Burundi
😂😂 bujumbura hii ninayoijua,haifikii Mwanza,Arusha wala Dodoma ,Lilongwe level zake ni Dodoma na bado pia Dom kuna ujenźi wa majengo mengi ya kisasa kuliko Lilongwe
 
Kulingana na baadhi ya Wamalawi kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Lilongwe kipo hakipo Mbeya na kipo Mbeya hakipo Lilongwe.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Mby wale wa Lilongwe wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
5. Culture and Life style
 
Dah,it's unfair to compare Lilongwe na Mbeya...
Hiyo Mwanza tu ikasome kwa Lilongwe, ukubwa ni almost sawa na Dsm.. waulize madereva wa Malory watakuambia kuhusu Lilongwe.
Mbeya ifananishe na Mzuzu, Mzuzu ni jiji ambalo geographically ni padogo lakini Kuna vitu Vipo Mzuzu,Mbeya havipo,mfano Supermarkets
Hii picha ni ya Mzuzu ģwView attachment 3115481
Lilongwe kwa ukubwa haiikuti Mwanza ,Lilongwe ni laki 9 na Mwanza ni mil 1.3 hata kiùchumi Mwanza iko juu ya Lilongwe ,😂😂yaani Lilongwe ufananishe na Dar yenye watu mil 5.3
 
Tunaopajua Mbeya tumeshangaa sana kupalinganisha Mbeya na sehemu ya maana
 
Mfano ukisoma kidogo tu gogle maana sijawahi fika lilongwe.

Kwanza ina watu wengi kuliko mby, 9m wakat mby ni 6m.

Piah kwa haraka haraka kwenye picha inaonesha lilongwe ina majengo marefu mengi kuliko mby, na hii inatokana na kuwa n makao makuu ya serikari.

Hivo nazan labda lilongwe ifananishwe na dodoma kwasababu ni miji inayojengwa na serikari.

Mby ni inasimama yenyewe na wafanyabisashara wa pale pale mby. Mby hawana barabara nzuri na hata mipango miji yakueleweka hivyo sijui tuseme nin??

Labada mfanano uwe wa chakula, hali ya hewa na vingine ambavyo ni Mungu kaweka ila sio man made hahaha.
ACha utani lìlongwe ina watu laki 9 sio milion 9 na Mbeya ina watu around laki 4 na points kama sio laki 5
 
Mfano ukisoma kidogo tu gogle maana sijawahi fika lilongwe.

Kwanza ina watu wengi kuliko mby, 9m wakat mby ni 6m.

Piah kwa haraka haraka kwenye picha inaonesha lilongwe ina majengo marefu mengi kuliko mby, na hii inatokana na kuwa n makao makuu ya serikari.

Hivo nazan labda lilongwe ifananishwe na dodoma kwasababu ni miji inayojengwa na serikari.

Mby ni inasimama yenyewe na wafanyabisashara wa pale pale mby. Mby hawana barabara nzuri na hata mipango miji yakueleweka hivyo sijui tuseme nin??

Labada mfanano uwe wa chakula, hali ya hewa na vingine ambavyo ni Mungu kaweka ila sio man made hahaha.
ACha utani lìlongwe ina watu laki 9 sio milion 9 na Mbeya ina watu around laki 4 na points kama sio laki 5
 
Back
Top Bottom