Huyo ni tope Tena la ujenzi😀😀😀
Hizo excuse haziwezi kukusaidia ,,, arusha airport sio airstrip.... ni uwanja wa ndege unaohudumia mkoa wa Arusha ..hyo KIA ni purpose ya utalii tu Wala si kingine ..na ndio maana hata domestic route KIA inazidiwa na mwanza [emoji116]Iyo ni airstrip tu, KIA ilijengwa kuhudumia Kilimanjaro na Arusha, hapo kama mnataka ushindi wa kuforce poa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kinashindikana nini arusha kuwa na International airportIyo ni airstrip tu, KIA ilijengwa kuhudumia Kilimanjaro na Arusha, hapo kama mnataka ushindi wa kuforce poa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kama hujui utaelewaje kwa mfano. Endelea kubaki hivyo hivyoKama sio mbeleko ni nn izo b700 angekenga barabara mwanza za maana kwanza atleast ningemuelewa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Huku ni mbali sana wape picha ya iliyokuwa stand ya buzurugaNataka twende na infrastructure..tuone wapi wako backwards [emoji28][emoji28][emoji28]
Bus terminals
Nyegezi bus terminal and nyamhongolo View attachment 2526734View attachment 2526739
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua Simu mpya wewe. Halafu eti unajiita mjanja 😀😀😀😀Ndio mana mnapigwa bakora na miji kama Arusha sasa,
Kitu pekee tunaweza wasemea ni kwamba mko nyuma ya Arusha kwa kila kitu...nenda kalie
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hatusimamii show za kijinga kama hizo uongo???😀😀😀Toa akili za kiwehu [emoji23][emoji23][emoji23]. Nyuma ya wanaarusha wapo wazungu sis hatutak dhambi.
Naona una maneno mengi na sijawahi kuona umetuma picha zaidi ya maneno tu, waswahili wanasema maneno matupu hayavunji mfupa.Sasa ili usipoteza wakati wewe leta zingine,unalalamika sana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro inaingiaje hapa?. Usiazime vitu kwa majirani unatakiwa uelewe Nini yakupasa kujibuArusha inatumia KIA
abf you KIA is superior to your Airport by far
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Jamaa anatak tuwe nyuma yao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatusimamii show za kijinga kama hizo uongo???[emoji3][emoji3][emoji3]
Akili za kwa mrombo pale na redstone club Moshi maana wanakuwaga wengi sana usiku.Jamaa anatak tuwe nyuma yao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shoga mwenyeweUnaijua nyanzaga wewe kiboga?. Geita na GGM unazijua kweli??. Utasemaje daraja haliko strategic. Utakuwa mpumbavu mmoja shoga tu.
We mbumbumbu unafananisha Dar na Mwanza? We ni punguaniMuulize flyover za ubungo na tazara Zina impact Gani kiuchumi hatakujui kwa mkitadha wa majibu na uelewa wake. Ndo ujue tunabishana na mbu mbu
Unauza simu?Nunua Simu mpya wewe. Halafu eti unajiita mjanja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tuliwaambia watu wa Arusha,,Kwa mwanza bado sana ,,lakin ubishi umewajaa ...
Kama haujapata majibu usiniquote, piga ua hatulingani uelewa wa haya tunayojadili hapa.We mbumbumbu unafananisha Dar na Mwanza? We ni punguani
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mimi nakuchana live wewe ni mpumbavu shoga mmoja asiye na akili. Swali simple unaijua faida ya bypass ya tengeru sakina?
Dar wanaishi watu na sehemu nyingine wanaishi punda? Mbona mnakuwa wapumbavu wa mwisho Dar kuna nini adi kutaka vitu vyote vizuri viwe dar peke yake, au pengine hapastahili maendeleo? Nilikuwa nakuona unalogic lakini sasa nakuona wewe ni tahira na sitaangaika kujibizana na mtu mpumbavu kama wewe, unataka mikoa mingine isiwe inapata maendeleo bali ni dar tu ndo yastahili.We mbumbumbu unafananisha Dar na Mwanza? We ni punguani
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
@tuusan ChoiceVariable [emoji3]Tuliwaambia watu wa Arusha,,Kwa mwanza bado sana ,,lakin ubishi umewajaa ...
Hii figure inaonyesha mkoa Gani wenye magari mengi [emoji116]View attachment 2526864
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jamaa fala sana nilikuwa naliona kidogo linalogic kumbe ni mwezi mchanga.Mimi nakuchana live wewe ni mpumbavu shoga mmoja asiye na akili. Swali simple unaijua faida ya bypass ya tengeru sakina?