shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo imeizid mwanza gorofa 2000Cheki hiyo skyline kama Mbele ,chuga ni ya moto hatareeeView attachment 2526928View attachment 2526929
Hyo parking huwezi ipata popote ukubwa wake hapa tz .hta tungeiweka mlimani isingejaaUshawahi ona parking lot ya iyo mall iko full?
Hapa nakuambia vitu na nna vivid
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mlimani city is unarguably busiest Mall in Tanzania, it has an underground parking let asides ground parking lots...Hyo parking huwezi ipata popote ukubwa wake hapa tz .hta tungeiweka mlimani isingejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
California wana international airport mbili mwehu wew. Arusha inaweza kuwa na international airport na KIA ikawepo shida demand ya international airport hamna.KIA typically is serving Arusha,Sasa nyingine ya nini?
Unadhani rock city haina underground parking..plus Ina side mbili za parking...at least magari 2000 yanaweza kupark Kwa wakati mmojaMlimani city is unarguably busiest Mall in Tanzania, it has an underground parking let asides ground parking lots...
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1] mahaba yamezidi sasa hapa kuna niniArusha downtown View attachment 2526960View attachment 2526961View attachment 2526962
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
International Airport ya nyoko, shukuru ni yuke mzee. Kile ki lounge kikikuwa kama banda la kuku. Alafu mpaka leo hakuna international airline inasafari za huko mashenzini. Hakuna la maana.Hizo excuse haziwezi kukusaidia ,,, arusha airport sio airstrip.... ni uwanja wa ndege unaohudumia mkoa wa Arusha ..hyo KIA ni purpose ya utalii tu Wala si kingine ..na ndio maana hata domestic route KIA inazidiwa na mwanza [emoji116]View attachment 2526817
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndizi bukoba na mshare[emoji1][emoji1] mahaba yamezidi sasa hapa kuna nini
picha nilizo zituma humu kuzielewa yakupasa uwe na display nzuri inayosupport 4k HDR10+ DYNAMIC AMOLED😄 tofauti na hapo utakua unaona mapicha picha tu
We jamaa unamtesa mwenzako [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]picha nilizo zituma humu kuzielewa yakupasa uwe na display nzuri inayosupport 4k HDR10+ DYNAMIC AMOLED[emoji1] tofauti na hapo utakua unaona mapicha picha tu
Ni jamaa yangu huyo..nilikua najaribu kumuweka sawa kama vipi azidownload hizo akaangalizie kwa marafiki zake wenye simu kaliWe jamaa unamtesa mwenzako [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hakuna ya nyokoInternational Airport ya nyoko, shukuru ni yuke mzee. Kile ki lounge kikikuwa kama banda la kuku. Alafu mpaka leo hakuna international airline inasafari za huko mashenzini. Hakuna la maana.
Kweli Mwanza mko juu, yaani hata kwenye kutembea, hatua moja ya mtu wa Mwanza ni sawa na hatua mbili za mtu wa Chugga!Watu wa Arusha wamebakiza maneno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] picha zimeisha wakati Mwanza Ndio kwanza zingine nyingi bado hawajarusha jaman
Mwanza tunatakiwa kulinganisha na Rwanda jamani
Unauza simu jumla ama rejareja? Cause your too sensitive with baseless thingsNi jamaa yangu huyo..nilikua najaribu kumuweka sawa kama vipi azidownload hizo akaangalizie kwa marafiki zake wenye simu kali
Jamaa kuna details anazimis[emoji1]
Hii inawauma sana, na bado viaduct inakuja🤣🤣View attachment 2526764
Hela imelala hapa ni bajeti ya barabara zote za Arusha
[emoji1] hujui dunia ipo kiganjani? acha mahaba uchwara...something unakuaga na points nzuri ukishushiwa facts unakimbia acha hizo kijanaUnauza simu jumla ama rejareja? Cause your too sensitive with baseless things
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Achana na Nyanzaga, Fela inajengwa dry port kubwa na kituo kikubwa cha sgr, hii ndio njia ya mizigo ya Geita, Kagera, Uganda nk.Unaijua nyanzaga wewe kiboga?. Geita na GGM unazijua kweli??. Utasemaje daraja haliko strategic. Utakuwa mpumbavu mmoja shoga tu.
Alafu hii sikuiona eti kwa ajaili ya watalii [emoji38]Hizo excuse haziwezi kukusaidia ,,, arusha airport sio airstrip.... ni uwanja wa ndege unaohudumia mkoa wa Arusha ..hyo KIA ni purpose ya utalii tu Wala si kingine ..na ndio maana hata domestic route KIA inazidiwa na mwanza [emoji116]View attachment 2526817
Sent using Jamii Forums mobile app