KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Taja international schools za mwanza alafu nitaje za Arusha nikukate wenge chap.Sasa mwanza shule za ghorofa zipo miaka na miaka mfano mwanza seko,mkolani etc pia now ndo usiseme mfano nyamagana shule zmejengwa maghorofa maana imebanana eneo ila Arusha hyo moja tu yenye rangi za ajabu mnacimba
Haters wanasema rock mall ni chuo [emoji28][emoji12][emoji12]Taja international schools za mwanza alafu nitaje za Arusha nikukate wenge chap.
🤣🤣🤣🤣🤣🚮🚮🚮🚮 Watu wa mwanza bana, bila hiyo takataka mwanza ni kitongoji tuHaters wanasema rock mall ni chuo [emoji28][emoji12][emoji12]
Ona international investors wanavyomiminika [emoji28][emoji28]
Wivu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Watu wa mwanza bana, bila hiyo takataka mwanza ni kitongoji tu
umeanza kuleta render..[emoji28][emoji28]Nyakato mega mall ...[emoji116]Arusha Mall hii ni mall mpya jamani achana na ile ya Aim mall, haya sukuma people leteni yenu ukiachan na rock city mallView attachment 2544517
Kama mnajengewa hiki kibanda Bora hata msijengewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...... Hakuna tofauti na Nyerere road plazaArusha Mall[emoji3590][emoji3059] ..Mwanza mna Malls ngapi?!View attachment 2544488
Bora nyerere plaza inavioo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hio arusha mall imekaa kama nyumba za kaleKama mnajengewa hiki kibanda Bora hata msijengewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...... Hakuna tofauti na Nyerere road plaza
Arusha Mall❤️🥰 ..Mwanza mna Malls ngapi?!View attachment 2544488
Render?! Unaakili wewe huoni Mall hiloumeanza kuleta render..[emoji28][emoji28]Nyakato mega mall ...[emoji116]View attachment 2544543View attachment 2544545
Iko wapi,,,,mtaa gani ,, barabara Gani ,nani mmiliki [emoji28][emoji12][emoji12]Render?! Unaakili wewe huoni Mall hilo
Sema render hiyoMbona mmeanza kuweka render et arusha mall , [emoji13][emoji13][emoji13]
By the way chukua hicho kibanda chako changanya na Banda lingine linalojiita aim mall bado hamwifikia rock city mall Kwa ukubwa hata nusu yake ,,hamtoshi ...rock city inabeba malls nne size ya aim mall na kubaki chenjiArusha Mall hii ni mall mpya jamani achana na ile ya Aim mall, haya sukuma people leteni yenu ukiachan na rock city mallView attachment 2544517
Nahitaj project under construction sio michoro mkuu ..mana hata Arusha mchoro kam huu upo ukitaka nakuleteaumeanza kuleta render..[emoji28][emoji28]Nyakato mega mall ...[emoji116]View attachment 2544543View attachment 2544545
Ndio kaja kushangaa mwanza na Kagoma kurudi migombani.Hahaaa. washamba wa mwanza bana, mnashangaa mataa?? alafu huyo Albert G Sengo game kajifunzia Arusha, ujanja wote alionao ni wa Arusha ilipo familia yao.
Ya kwako Iko wapi maana tunaona matangazo tu ....,,,,,[emoji12]..kwanza usijichoshe kuleta mabanda hapa ..maana vibanda center kama hvyo ,,,sio vya kuleta humu ni kujiabishaNahitaj project under construction sio michoro mkuu ..mana hata Arusha mchoro kam huu upo ukitaka nakuletea
Niambie hii sehem niangalie kweny Google map kama ipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#RenderRender?! Unaakili wewe huoni Mall hilo