[emoji706][emoji706][emoji706]Brother Hizi tu nazo kutumia sio sehemu za kishua ,ni ushenzini tu still..si mlitaka vitu vikali chuga hivi hapa mnavipata...NB hapa ni Sombetini Yan ushenziniView attachment 2546940View attachment 2546941View attachment 2546942View attachment 2546943
Hapa ni wapi mkuu nami niende nikatalii one day
We ni mshamba.......eti sio ......jifariji basi Na CHAT GPT ..[emoji28][emoji28]..iulize jina la mkeo ikipatia ndio nitaiamini ...Watu wa Mwanza hizi Tena sio habari nzuri ..ila inabidi mzipokeeView attachment 2547045View attachment 2547047
Nimekuomba picha ya mtaa unaleta kajengo kamoja ,,,,[emoji28][emoji28][emoji28]...HIV Arusha hamna classic neighborhood .
Hizo nyumba sio kali kaka. Pia sio za arusha [emoji116]This is Arusha The land of god ...Haha Si mlikuwa mnataka Vyuma vikali mi nawapa...ukutuma moja mi nakutumia 5View attachment 2546572View attachment 2546573View attachment 2546574
[emoji28][emoji28][emoji28].. kaishiwa Hadi anategemea fouls za GoogleHizo nyumba sio kali kaka. Pia sio za arusha [emoji116]View attachment 2547111
Ndo michezo yake [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28].. kaishiwa Hadi anategemea fouls za Google
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii chat GPT unayoisema ....[emoji116]Watu wa Mwanza hizi Tena sio habari nzuri ..ila inabidi mzipokeeView attachment 2547045View attachment 2547047
Sasa unaleta picha za mapori, farasi, watu na mlima halafu ndo unasema ni kama Scotland [emoji38][emoji38]Vipi hapo utasema uko scottlandView attachment 2545129View attachment 2545130View attachment 2545131
Sasa ziwa liko porini wamasai tu ndio wanaogelea huko[emoji38][emoji38]Hilo ziwa Eyasi mkuu ...kumbe hata ujue kuwa Arusha Kuna maziwa ma 2
Jamaa ametuma picha za farasi nami nikamjibu mkuuSasa unaleta picha za mapori, farasi, watu na mlima halafu ndo unasema ni kama Scotland [emoji38][emoji38]
Umeona Unashindwa mkuu unatafuta visingizioNdo michezo yake [emoji23][emoji23]
Kiongoz leo umeua vibaya sanaNimekuomba picha ya mtaa unaleta kajengo kamoja ,,,,[emoji28][emoji28][emoji28]...HIV Arusha hamna classic neighborhood .
hii inaitwa njiro Kwa msola [emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2547106View attachment 2547108View attachment 2547109
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapiga picha nyumba moja moja sisi tunataka neighborhood
Uko wanakuja kuchuma na kuendeleza makwao huko Kilimanjaro. Nyie endeleeni kuzaana na kufuga mifugo elfu moja na huku una umasikini wa kutosha 😂😂Town ndo arusha acha utani basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Njoo uone wakina kimaro walivyoweng huku