Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
[emoji1787][emoji1787] hapa umeshangaaKitu hiki nimekiona nikabahatika kukipiga Vitu kama hivi utavipata Unyamwezini A townView attachment 2547404
Kwamba, Mwanza Hotel ndio ghorofa refu...?!Hii chat GPT unayoisema ....[emoji116]
Inasema ghorofa lefu Arusha ni new safari hotel yenye ghorofa 9..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
By the way mwanza haina bus terminal karibu na Bismarck rock ....iache kufananisha kamanga ferry na bus terminal View attachment 2547132View attachment 2547133
Sent using Jamii Forums mobile app
unaifahamu mitaa ya Arusha...?!Watauwawa. washamba wa mwanza, hivi kweli mtu anakuwa timamu kabisa anadhani mwanza ni zaidi ya arusha? [emoji1787]
Kwamba, wale watu wa Sokon 1 na 2, Bangata, Sambasha, Kimnyak, Elerai, Sinon ni wajanja...?!Sijawai kukataa. Mwanza kitu pekee inaizidi Arusha ni wingi wa mazuzu. Kweli yanazaa hayo mashamba. Ila vingine vyote wanazidiwa na Arusha tena mbali sana.
Usa River sehemu gani...?! Manyata, Nganana...?! Ngarasero, Majengo au Kisambare...?! Magadini, Esotu ndio pa kishua...?!Kwo Nyakato huko ndo kwa kishua Ujue mim nawapostia sehemu kama MOSHONO,Sinoni ,sombetini ...sijataka niwapostie Burka Estate ,Gomba Estate ,USA river ,Uzunguni n.k
Sehemu gani hujafika Arusha...?! Arusha hakuna sehemu sijafika hadi Olokii, Mirongoine...Yani Kweli mwanza ndogo sana ..kwa Arusha uwezi kumaliza siku moja kutembelea sehem zote ..mim nakuzaliwa kwang Arusha Kuna Sehemu sijawah fika sasa kama mwanza unaweza pata muda wa kuzunguka sehemu hizo inaonesha jinsi gani mji wenu ulivo mdogo sanaaaaaaa
Umetoa wapi...?![emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Arusha hospital 43,
Mwanza hospital 41
Matokeo ya sensa baba 🤪🤪Umetoa wapi...?!
Okay...Matokeo ya sensa baba [emoji2957][emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmesema mnakila kitu. Don't panic bro. Kwan nyie mnamlima gani?Check mlivyo washamba Sasa Arusha bandari itokee wapi wakati hatuna bahari au ziwa kubwa kama vickitoria,? Hiv ndio akili zenu za kisukuma zilivyo
Hilo lirobot analolitegemea[emoji28][emoji28]Kwamba, Mwanza Hotel ndio ghorofa refu...?!
Vipi leta pia vituo vya afya na zahanati .tuone[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Arusha hospital 43,
Mwanza hospital 41
Ndio umetafuta kichaka Cha kujifichia huko au siyo? 🤪🤪🤪🤪
See it above [emoji91][emoji91][emoji91]Kitu hiki nimekiona nikabahatika kukipiga Vitu kama hivi utavipata Unyamwezini A townView attachment 2547404
Brother una mbegu za sato ,Sangara?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmesema mnakila kitu. Don't panic bro. Kwan nyie mnamlima gani?
Sawa sawa bro