Sana, wameanza kuona maghorofa, magari, wazungu, na vitu vingi sana kabla ya waskuma wa mwanza, sijui bwiru, sijui wapi, ambao bado wanauana kisa mapenzi na uchawi mpaka jana.Acha utani aisee, yaani wale watu wa Mwandeti, Losikito, Olkokola huko Oldonyosambu, Olkajolendiriti, Lemanda ni wajanja...?!
Ndo nini sasa? Arusha kuna chartered flights kila dakika yani.Unaongea sana..ila vitendo hamna
Special flight [emoji116][emoji116]View attachment 2547529
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mwenzako anapenda sana maneno ya kejeri na zalau kwa watu wa mwanza nimeona nimtolee uvivu hana pointSema nini humu naona watu mnatukana matusi hii sio fea kabisa ,hii sio vita wandungu wote watanzania ..vile vile watu wanaofatilia humu ni Rika tofauti sio vijana pekee ..tuishi kwa Amani wakuu
Watu wa Mirerani wa Madini vipi...?! mara ngapi wanapigana marisasi...?! ukiona mzungu wewe ni mjanja...?! mwaka gani waliona maghorofa na Mwanza havikuwepo...?!Sana, wameanza kuona maghorofa, magari, wazungu, na vitu vingi sana kabla ya waskuma wa mwanza, sijui bwiru, sijui wapi, ambao bado wanauana kisa mapenzi na uchawi mpaka jana.
Unaongea sana..ila vitendo hamna
Special flight [emoji116][emoji116]View attachment 2547529
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiki ni nini
Ni mtu mjinga tu ndio anadhani Arusha na mwanza zipo sawa. mwanza ni underdog.Arusha ndio sehemu pekee utakayo jionea Magari ya kifahari unayoyaona kila siku kwenye movie na tvView attachment 2547608View attachment 2547609View attachment 2547610
[emoji28][emoji23]Ni mtu mjinga tu ndio anadhani Arusha na mwanza zipo sawa. mwanza ni underdog.
Ni Cha asubuhi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiki ni nini
Watakwambia wao wanaongoza Kwa Utalii ila huwezi ona hata mtalii mmja akishuka airport Yao 🤪🤪🤪🤪Tanzania’s Air Ambulance Service - Issuu
Arusha Medivac operates Tanzania’s only dedicated Air Ambulance Service, providing emergency care and aeromedical retrieval services within Tanzania and to medical facilities in Nairobi, Kenya. Based at Arusha Airport near Mount Kilimanjaro, the company operates a twin-engine Piper Navajo...issuu.com
Sisi tunavyo vingi sana, vitu vya zamani sana. Alafu tunaona kawaida.
Wew ni mwehu.Uzazi wa mpango unafaida ganMwanza ni moja ya mikoa wanawake wanaongoza kumiliki nyumba, tafsiri yake ni kuwa kuna wanaume wajinga sana. Mwanza inaizidi Arusha idadi ya watu, tafsiri yake ni kuwa hawajui uzazi wa mpango, ni wajinga.
wazembe, all in all ni uzembe.
Arusha pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watu kuliko mwanza, inaizidi kwa idadi ya nyumba za ghorofa, huduma za kidiplomasia, uwiano wa hospitali kwa eneo, na uwiano wa hospitali kwa idadi ya watu. Arusha inaongoza kwa idadi kubwa ya majengo ya ghorofa, hoteli za viwango na ujenzi wa kisasa. Ata idadi ya magari tu, Arusha inaongozaArusha ni modern city, mwanza sio modern city. Mwanza bado wapo kwenye phase ya kushangaa maana vitu vimechelewa kuwafikia. Battle ya mwanza na arusha sio sawa. Labda mwanza na dodoma au tanga ambazo kimsingi zilikuwa au zipo mbele ya mwanza ukitoa population.
Kuona magorofa, magari na wazungu ndo ujanja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana, wameanza kuona maghorofa, magari, wazungu, na vitu vingi sana kabla ya waskuma wa mwanza, sijui bwiru, sijui wapi, ambao bado wanauana kisa mapenzi na uchawi mpaka jana.
Exposure mzee. Ushamba mwanza ni mwingi sana. Ndio maana bado hadi leo 2023 mnashangaa maghorofa. Mmechelewa sana.Kuona magorofa, magari na wazungu ndo ujanja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana upo mwanza.Wew ni mwehu.Uzazi wa mpango unafaida gan
Aiseee watalii wanapanda precision [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watakwambia wao wanaongoza Kwa Utalii ila huwezi ona hata mtalii mmja akishuka airport Yao [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mafuriko ya Watalii Arusha [emoji116]
[emoji3][emoji3][emoji3] hilo Lamborghini la mchongo mwanza hamna?Arusha ndio sehemu pekee utakayo jionea Magari ya kifahari unayoyaona kila siku kwenye movie na tvView attachment 2547608View attachment 2547609View attachment 2547610
Afu bado nakukula tu za uso. Mshamba, matusi yenyewe umejifunza uzeeni. Ukishindwa game tulia, umepanick, mshamba wa mwanza, nenda kapige picha rock city mall uje utambe mpo juu ya Arusha.Tatizo mwenzako anapenda sana maneno ya kejeri na zalau kwa watu wa mwanza nimeona nimtolee uvivu hana point
Alafu la zamani sana, tuoneshe la mwanza, mtaishia kuziona kwenye google au mkija Arusha au dar. Nyie tunawauziaga Magari mabovu. Yale yalioshindikana tunatafuta mskuma tunamtupia.[emoji3][emoji3][emoji3] hilo Lamborghini la mchongo mwanza hamna?