Acha uwongo,hiyo nyumba ya kwanza mbona ipo hapa Salasala,unakuwa unafanya kuleta picha kwa angle tofauti
Ata vegetation huoni? Arusha na dar ndio majiji proper in the real sense of that word.Wee jamaa punguza uwongo,hiyo nyumba ya pili ipo Salasala jirani na kwa aliyekuwa CDF ipo nyuma ya
Last point Bar.
Kama sio Arusha sema ni wapi kwa evidence, mbona Arusha si tushazoea, ata tukienda dar hatushtuki kama nyie watu wa mwanza, shamba ciryPicha ya kwanza ni uwongo,hizi zipo Kinondoni
Piga hao🤣🤣🤣Watu wa Mwanza najua hizi sio habari nzuri ila inabidi mzipokee sio mimi Jamani Hadi google inajua ukweli haidanganyiView attachment 2547870View attachment 2547873View attachment 2547874View attachment 2547875
Muhusika amejua fika kuwa nimemkamata na picha zake za uwongo,unaleta mijengo ya Dar unasema ni Arusha? Mwambie abishe nilete hiyo nyumba tena picha kabeba kwa kina Dalali kiongozi kule Instagram hiyo nyumba ilikuwa imewekwa sokoni inauzwa.Leteni uhalisia na siyo kuanza kutupiga kamba hapa.Ata vegetation huoni? Arusha na dar ndio majiji proper in the real sense of that word.
Leta evidence acha kelele. Mimi nilimpopoa mtu wa mwanza kaweka picha za freetown na nikaleta link. Hiyo ni Arusha. Mmechezea hamuelewi pakutokea🤣🤣🤣 ndio mjue nyie ligi ndogo sana.Muhusika amejua fika kuwa nimemkamata na picha zake za uwongo,unaleta mijengo ya Dar unasema ni Arusha? Mwambie abishe nilete hiyo nyumba tena picha kabeba kwa kina Dalali kiongozi kule Instagram hiyo nyumba ilikuwa imewekwa sokoni inauzwa.Leteni uhalisia na siyo kuanza kutupiga kamba hapa.
Hamna picha nilotoa Kwa dalali kiongozi mkuu ,huku Chuga Kuna Villas za manaMuhusika amejua fika kuwa nimemkamata na picha zake za uwongo,unaleta mijengo ya Dar unasema ni Arusha? Mwambie abishe nilete hiyo nyumba tena picha kabeba kwa kina Dalali kiongozi kule Instagram hiyo nyumba ilikuwa imewekwa sokoni inauzwa.Leteni uhalisia na siyo kuanza kutupiga kamba hapa.
Siku nyingine usirudie kudanganya watu.Nyumba yenyewe hii hapa na mpangaji anaeishi hapo kwa sasa ndiyo huyo.Hamna picha nilotoa Kwa dalali kiongozi mkuu ,huku Chuga Kuna Villas za mana
Mtaua wenzenu. Mimi kama refa nasemaje, nasemaje. PAMBANO LIMEISHA. MWANZA KAPIGWA K. O.Hizi ni 5star siyo maduka ya samaki na magofu ya mwanza
View attachment 2546702
Mijengo ya Arusha hiyo[emoji23][emoji23],punguzeni uwongo.Haya nenda kaone huo mjengo ulipo halafu urudi tena hapa na story zako za 'vegetation'Mtaua wenzenu. Mimi kama refa nasemaje, nasemaje. PAMBANO LIMEISHA. MWANZA KAPIGWA K. O.
Limeisha.Mijengo ya Arusha hiyo[emoji23][emoji23],punguzeni uwongo.Haya nenda kaone huo mjengo ulipo halafu urudi tena hapa na story zako za 'vegetation'View attachment 2547941
[emoji3][emoji3][emoji3] mwambie huyo aliyetaka kutupiga kamba,aache.Ataumbuka vibaya sana.Unataka nilete na zile za Kinondoni kazipachika Arusha [emoji3][emoji3]Limeisha.
Angalizo usibebe picha za Madalali wa Dar ukatuwekea hapa kuwa ni mijego ya Arusha [emoji3]
Tunataka aerial view [emoji1787][emoji1787] kama hii
Hakuna ata nyumba ya maana. Kwanza mvua ya maana ikipiga panaonekana dimbwi.Tunataka aerial view [emoji1787][emoji1787] kama hiiView attachment 2547993
Hawezi tuma hiyo,anaujua ukweli ataumbukaTunataka aerial view [emoji1787][emoji1787] kama hiiView attachment 2547993
Duh picha moja imetumwa na watu 10 ..mbon sisi watu wa Arusha atuko hivoTunataka aerial view [emoji1787][emoji1787] kama hiiView attachment 2547993
Wewe ni hodari wa kukosoa uandishi wa wengine,kumbe hata wewe ni yale yale.Inaandikwa 'hata' na siyo 'ata' hebu jifunze matumizi ya herufi h kwanza [emoji3]Hakuna ata nyumba ya maana. Kwanza mvua ya maana ikipiga panaonekana dimbwi.
Nyie wa Arusha kazi yenu ni kubeba nyumba za Dar na kuzipachika Arusha,mkikamatwa mnajifanya hamuoniDuh picha moja imetumwa na watu 10 ..mbon sisi watu wa Arusha atuko hivo