Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Arusha mmetuma picha gani? sisi tunataka aerial view tuone hizo posh neighborhood[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh picha moja imetumwa na watu 10 ..mbon sisi watu wa Arusha atuko hivo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bwiru unaijua lakini?Hakuna ata nyumba ya maana. Kwanza mvua ya maana ikipiga panaonekana dimbwi.
Angalia bwiru ilivyo kubwa... vipi kama nikileta picha ya nyumba moja moja huko bwiruDuh picha moja imetumwa na watu 10 ..mbon sisi watu wa Arusha atuko hivo
Yani hapo sasa si pamezidiwa ata na tengeru 🤣🤣 nini hicho? Nyumba zenyewe mbili, mwanza wanatia huruma, yani mtu anatamba na hiyo takataka kabisa? 🤣Angalia bwiru ilivyo kubwa... vipi kama nikileta picha ya nyumba moja moja huko bwiru
Na bwiru ni ndogo kieneo tukiwaletea aerial view ya kiseke,nyasaka,buswelu,ibanda,nyegezi majengo mapya,shamaliwa,nyamhongolo,monarch,minazi mitatu si mtakimbia humu[emoji1787][emoji1787]View attachment 2548003View attachment 2548004View attachment 2548008View attachment 2548009View attachment 2548011View attachment 2548013View attachment 2548014
Punguza kuongea sana mtoto wa kiume, na kama ni wa kike sawa, nakushauri tumia zaidi picha kuliko maneno, utakuja kuvishwa shela shauri yako.Leta evidence acha kelele. Mimi nilimpopoa mtu wa mwanza kaweka picha za freetown na nikaleta link. Hiyo ni Arusha. Mmechezea hamuelewi pakutokea🤣🤣🤣 ndio mjue nyie ligi ndogo sana.
Mzee wa leta picha 🤣🤣mmenyooshwa huko mnalialia, kwani wanawake sio watu? Kuongea hakuna jinsia.Punguza kuongea sana mtoto wa kiume, na kama ni wa kike sawa, nakushauri tumia zaidi picha kuliko maneno, utakuja kuvishwa shela shauri yako.
Sasa hapa Pana ukubwa gani?! Mbna unapend kuweka vitu kweny hamna ...tuma picha za mijengo acha janja janjaAngalia bwiru ilivyo kubwa... vipi kama nikileta picha ya nyumba moja moja huko bwiru
Na bwiru ni ndogo kieneo tukiwaletea aerial view ya kiseke,nyasaka,buswelu,ibanda,nyegezi majengo mapya,shamaliwa,nyamhongolo,monarch,minazi mitatu si mtakimbia humu[emoji1787][emoji1787]View attachment 2548003View attachment 2548004View attachment 2548008View attachment 2548009View attachment 2548011View attachment 2548013View attachment 2548014
[emoji1787][emoji1787] umeanza kuishiwa points siku hizi unatuma picha moja moja ya nini..Sasa hapa Pana ukubwa gani?! Mbna unapend kuweka vitu kweny hamna ...tuma picha za mijengo acha janja janja
Twende taratibu kijana,,,, tuma picha za nyumba zenye hadhi hapo arusha na mimi nitatuma za Mwanza naona kama unataka kucheza na moto
Nishakwambia maneno kidogoo ,vitendo zaidiii ...wewe tuma tuoneshane maukaliTwende taratibu kijana,,,, tuma picha za nyumba zenye hadhi hapo arusha na mimi nitatuma za Mwanza naona kama unataka kucheza na moto
Angalizo; tuma picha kali aisee sio hizo [emoji1787][emoji1787]
Usikimbie tu[emoji1787][emoji1787] wacha nikuoneshe mijengo ya wauza samakiNishakwambia maneno kidogoo ,vitendo zaidiii ...wewe tuma tuoneshane maukali
Nyasaka
Hili sasa mbona kila siku mnapost watu 10 tofauti tunataka vitu vipya
Nyasaka [emoji3][emoji3]Mijengo kama MijengooView attachment 2548511
[emoji3] nitajie wawili walio postHili sasa mbona kila siku mnapost watu 10 tofauti tunataka vitu vipya
Mikdade na kitombile[emoji3] nitajie wawili walio post
Mijengo kama mijengoNyasaka [emoji3][emoji3]View attachment 2548527