The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Siku Mwanza ikifika hapa ilipo Arusha nakulipia bando la Mwaka mzima ππ..Kiboko ya arusha ni hapaView attachment 2335848
Wadanganye mazuzu tu ambao hawajawahi kufika hapo kuna magorofa mawili tu ambayo umepiga picha kwenye angle tofauti tofauti, na hizo picha umezitoa kwenye uzi wa Dar vs Nairobi, nasikitaka kuwaumbua walipokuwa wakilinganisha Arusha vs kisumu, coz ata arusha ni sehemu ya Tanzania so nikawa mpole tu kutetea Arusha ina reality hapo ni gorofa mbili angle tofauti, ujinga huu wadanganye wakenya wasioijua ArushaπππππππSiku Mwanza ikifika hapa ilipo Arusha nakulipia bando la Mwaka mzima ππ..
Arusha kama mbele huko π
Upumbavu wa hizo picha wapelekee wakenya huko humu huwezi kudanganya mtu, arusha ni mji mdogo sana huo, arusha+arusha = mwanza ccWatu wa Mwanza fishing town mnajiaibisha Sana..
Leta Majengo kama haya Mwanza nzima nitaharisha Ikuluπ
Tuwekee picha za majengo marefu ya Mwanza,mapovu hayatakusaidia ππUpumbavu wa hizo picha wapelekee wakenya huko humu huwezi kudanganya mtu, arusha ni mji mdogo sana huo, arusha+arusha = mwanza cc
Unajiaibisha Mzee,nimetupia zaidi ya maghorofa 12 tofauti tofauti zikiwemo under construction..Wadanganye mazuzu tu ambao hawajawahi kufika hapo kuna magorofa mawili tu ambayo umepiga picha kwenye angle tofauti tofauti, na hizo picha umezitoa kwenye uzi wa Dar vs Nairobi, nasikitaka kuwaumbua walipokuwa wakilinganisha Arusha vs kisumu, coz ata arusha ni sehemu ya Tanzania so nikawa mpole tu kutetea Arusha ina reality hapo ni gorofa mbili angle tofauti, ujinga huu wadanganye wakenya wasioijua Arushaπππππππ
Magorofa mawili kwenye picha 12 acha uzwa uzwa arusha napajua vizuri na huwezi kunidanganya kuhusu huo mji mkuu na kila angle ya hizo picha me nazielewa we tulia, kama untaka battle njoo tuanze na hotel, tuje makazi, tuje viwanda, tuje fursa za kibiashara n.k na pia ata miundo mbinu ya barabara, masoko na stendi, niambie tuanze angle gani?Unajiaibisha Mzee,nimetupia zaidi ya maghorofa 12 tofauti tofauti zikiwemo under construction..
Kibali kushindwa Mwanza bado Sana labda ikashindane na Mbeya ππ
Utatapatapa Sana,ngoja uendelew kupigwa dozi na Arusha πMagorofa mawili kwenye picha 12 acha uzwa uzwa arusha napajua vizuri na huwezi kunidanganya kuhusu huo mji mkuu na kila angle ya hizo picha me nazielewa we tulia, kama untaka battle njoo tuanze na hotel, tuje makazi, tuje viwanda, tuje fursa za kibiashara n.k na pia ata miundo mbinu ya barabara, masoko na stendi, niambie tuanze angle gani?
Kichaka mlichobaki nacho ndio hicho cha maisha rahisi π π ..Mwanza maisha ni marahisi kuliko huko Arusha,so nitaishi mwanza na hali ya hewa ni nzuri sio baridi wala sio joto
Hujui kusoma na picha huoni?Nimeona battle sehemu fulani likiendelea hoja ikiwahusisa jamaa wawili wa kwanza ni msukuma from Mwanza na wapili ni mchaga from Arusha. kila mtu alikua akitetea kwa hoja zake kua jiji lake ni ni bora kuliko la mwenzake.
So nikaona ni vyema niilete hii mada na huku, eti jamani naomba kuuliza kati ya Arusha and Mwanza wapi pako bomba
NB: Majibu yakiambatanishwa na picha itapendeza zaidi.
ππ
Kwamba Mwanza na majiwe yote Yale ndio nzuri kuliko Arusha? ππNimeishi sehemu zote ukiniambia nichague wapi pa kuishi siwezi mung'unya maneno.
Mwanza is the best place kuliko arusha.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tuma mapicha yote ..ila huna uwezo wa kunipostia bus terminal yenu hukoChuga ni ya moto hadi sio poa,Wale wengine wakiona hivi lazima wanune [emoji116]