ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Makasiriko yote haya Kwa sababu Arusha inawanyea au umenyimwa tundu kubwa? π€£π€£π€£π€£Nahisi huwa hauna ubongo bali una makamasi kwenye hilo fuvu.
Wewe endelea kuvua sato na sangara tu mambo ya uwekezaji tuachie sisi kaskaziniWanapiga mzigo gani? Niambie hotel moja au kiwanda au kitu chochote kikubwa cha mchaga kanda ya ziwa ili nisibishane na wewe tena
Na hapo ndio mwanza inatake advantage kwa kufanya biashara na miji yote ya kanda ya ziwa, na miji mikubwa kama, kampala, kisumu, kigali, bujumbura na miji ya congo.
Hahaha yani jamaa amepanick ni balaa, kama mungekuwa karibu aise angekumeza, ndio tatizo la hawa ndugu zetu wakishazidiwa wanaleta asira zao za kusukuma na ushamba mwingi wakati dada zao wakija town hawataki tena kurudi shamba.Makasiriko yote haya Kwa sababu Arusha inawanyea au umenyimwa tundu kubwa? π€£π€£π€£π€£
Mwanza inafanya biz gani na iyo miji,? Kuuza dagaa? Em tujuze mkuuNa hapo ndio mwanza inatake advantage kwa kufanya biashara na miji yote ya kanda ya ziwa, na miji mikubwa kama, kampala, kisumu, kigali, bujumbura na miji ya congo.
Hamna kinawauma wamasai kama kukosa adventurous scenic areas kama hziMakasiriko yote haya Kwa sababu Arusha inawanyea au umenyimwa tundu kubwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2579365
Bila milioni 2 hujalala kwenye hizi luxurious tentHamna kinawauma wamasai kama kukosa adventurous scenic areas kama hziView attachment 2579369View attachment 2579370View attachment 2579372
Kumbe pesa ndogo kiasi hicho tena Kwa familyBila milioni 2 hujalala kwenye hizi luxurious tent
Kama unayo nenda na familia yako ..pasaka hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe pesa ndogo kiasi hicho tena Kwa family
Naenda Lake TanganyikaKama unayo nenda na familia yako ..pasaka hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie si east Africa capital city..mbona sioni bussines transit kwenda hata hapo jirani yenu naivasha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]zaidi ya kuuzΓ mahindi ya mbulu na kiteto [emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116]Mwanza inafanya biz gani na iyo miji,? Kuuza dagaa? Em tujuze mkuu
Nenda kwenye,,mwalo wa migebuka ,maana ndiko unakowezaNaenda Lake Tanganyika
Kwan wewe huwez kutype vile utakavyo na kuupload.Ha haha mwanza ina hotels 117 wakati Arusha ina hotels 700+ hahaha halafu unavimba kabisa tena hata ujionei huruma ivi unapata wapi ujasiri huu?View attachment 2579355View attachment 2579356
Kila wakati unatuma hii hamna hotel nyingineMakasiriko yote haya Kwa sababu Arusha inawanyea au umenyimwa tundu kubwa? π€£π€£π€£π€£View attachment 2579365
Mmefanya uwekezaji gani mbona nyenye nyenye nyingi nambie kuwa mwanza kuna hiki na hiki na kile cha watu wa kaskazin nitakuelewa.Wewe endelea kuvua sato na sangara tu mambo ya uwekezaji tuachie sisi kaskazini
Hakuna msukuma mwenye kutak kuja kuishi arusha.Hahaha yani jamaa amepanick ni balaa, kama mungekuwa karibu aise angekumeza, ndio tatizo la hawa ndugu zetu wakishazidiwa wanaleta asira zao za kusukuma na ushamba mwingi wakati dada zao wakija town hawataki tena kurudi shamba.
Arusha inakimbia ππ,hicho Kijiji chenu kitasubiri sana.Mmefanya uwekezaji gani mbona nyenye nyenye nyingi nambie kuwa mwanza kuna hiki na hiki na kile cha watu wa kaskazin nitakuelewa.
Baada ya kujengewa hako kajengo ndio kila siku kukaweka humu, , background ni vichaka na vijumba vya udongo.Arusha inakimbia ππ,hicho Kijiji chenu kitasubiri sana.View attachment 2579519View attachment 2579520
Acha kukaza fuvu wewe msukumaKwan wewe huwez kutype vile utakavyo na kuupload.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji116]Acha kukaza fuvu wewe msukuma