Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Sasa hapo Jiwe alihusika vipi? Mbona makao makuu ya Posta africa yalianza ujenzi sakati wa jiwe?Watu wa Mwanza niliwambia baada ya kufa Jiwe Arusha ujenzi umerudi ...hili ni moja wapo ya jengo lililosimama ujenzi wakati wa utawala wa Jiwe View attachment 2579770
Taja jengo hata Moja la mchaga mbona unatema tema mate mingi wakati mji hauufahamu.Fanya utafiti mkuu. Wachaga wamejazana hapo na wapare wanapiga mzigo ninyi mumeachiwa uvuvi na ufugaji pamoja na kuzaliana tu
Hivi vitu kwa mwanza vinajengwa 25km away from cbdWatu wa Mwanza niliwambia baada ya kufa Jiwe Arusha ujenzi umerudi ...hili ni moja wapo ya jengo lililosimama ujenzi wakati wa utawala wa Jiwe View attachment 2579770
Atolee wapi zaidi ya maneno tu.Taja jengo hata Moja la mchaga mbona unatema tema mate mingi wakati mji hauufahamu.
Angalia 15km away from cbd, Nyegezi MwanzaππWatu wa Mwanza niliwambia baada ya kufa Jiwe Arusha ujenzi umerudi ...hili ni moja wapo ya jengo lililosimama ujenzi wakati wa utawala wa Jiwe View attachment 2579770
Wachaga Mwanza wapo lakini huwezi kusema eti ndio wawekezaji wakubwa!Atolee wapi zaidi ya maneno tu.
Hao huwa wapenda sifa tu hakuna lolote, Mwanza naijua yote na hakuna chocho itanichenga ndio maana nauhakika kabisaa mwanza hakuna huwekezaji wowote uliofanywa na mchaga, Mwanza inainuliwa na wahindi, wasukuma, wakurya na wahaya.Wachaga Mwanza wapo lakini huwezi kusema eti ndio wawekezaji wakubwa!
Mji wa Mwanza kwa sehemu kubwa inajengwa na watu wa Geita,Tarime na Kahama ambao wamejikita kwenye mining industry ambayo mchaga hupo kidogo sana!
Ukiangalia hata vituo vya mafuta utalipata jibu sema wenzetu wanatakaga kila mji mzuri waonekane wao wanaujenga!
Mfano Kahama wawekezaji pale ni wasukuma,waha na wahaya lakini utakutana na mangi anasema kahama madong ni wao!
Wachaga Wewe hauwajui wanatakaga waonekane wao ndio wanamaisha tupo nao hapa Dar tiamajitiamaji nyingi watakwambia Dar hii wachaga ndo wenye hela! Ulimwengu ulishabadilika!Endeleeni niwashindanishe na nyegezi nasubiri huzo project zenu, nikutoka nyegezi naenda Buzuruga, nikitoka hapo ni Ghana, baada ya hpo ni neighbourhoods, nikitoka hapo nakuja kuwazika na projects za CBD.
Me siwezi jua nguvu yao lakini huku kanda ya ziwa, mchaga hana tofauti na mzaramo.Wachaga Wewe hauwajui wanatakaga waonekane wao ndio wanamaisha tupo nao hapa Dar tiamajitiamaji nyingi watakwambia Dar hii wachaga ndo wenye hela! Ulimwengu ulishabadilika!
Miaka ya nyumba walikuwepo wengi ila jamii zinabadilika sana! Saizi wanafanya biashara ambazo Masanja na Marwa anafanya pia!Hao huwa wapenda sifa tu hakuna lolote, Mwanza naijua yote na hakuna chocho itanichenga ndio maana nauhakika kabisaa mwanza hakuna huwekezaji wowote uliofanywa na mchaga, Mwanza inainuliwa na wahindi, wasukuma, wakurya na wahaya.
Zamani nilikuwa nawaona wengi wanauza kwenye viosk yaani maduka ya rejareja wakiwa wanapiga magendo na biashara hatamu chini ya kapeti lakini miaka ya hivi karibuni siwaoni kabisa, nawaona waha ndio wameshika hatamu kwenye viduka vya rejareja,Miaka ya nyumba walikuwepo wengi ila jamii zinabadilika sana! Saizi wanafanya biashara ambazo Masanja na Marwa anafanya pia!
Wanaukabila sana hao mbwa!
Aliua Utalii wa KaskaziniSasa hapo Jiwe alihusika vipi? Mbona makao makuu ya Posta africa yalianza ujenzi sakati wa jiwe?
Mbona huo ujenzi ni wakawaida tu hapo sioni maajabu!
Arusha ni mji wa kimataifa kwa mda mrefu na ulipaswa uwe mbali sana kuizidi Mwanza!
Lakini tofauti na majengo hapo mjini kati sehemu kubwa ya mji wa arusha hauna nyumba kali kama Mwanza!
Kusimama ujenzi ni hali ya kawaida! Magufuli ametawala miaka 5 usimsingizie sana! Tokea uhuru mji wenu umebebwa na tasisi za kimataifa tu hauna maajabu!Aliua Utalii wa Kaskazini
πππ Labda projects za mang'ombe kama hizi hapa πNyegezi inawakalisha kwa projects wanajitoa ufahamu
Maneno kidogoo ,matendo mingi twende kazi boss....Sakina iyoView attachment 2544989
Oya jamaa wanakarabati majengo mengine likiwepo snow crest ndipo waje wamalizie hilo hapo maana kati ya majengo yote hilo ndilo lilikuwa halijishaMkuu hili jengo karibu na matejoo mtoni apo linamiaka karibia kumi lishatelekezwa , tajiri ake mchimba tanzanite alikufa