Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Fungua thread ya dodoma vs Arusha hapa ni Arusha vs Mwanza ....hii ndio tofauti ya wasukuma na watu wa Arusha developed city ilipo
Mwanza sio level ya vizizi vya watu laki laki kama njombe..tushatoka huko kitambo..Fungua thread ya dodoma vs Arusha hapa ni Arusha vs Mwanza ....hii ndio tofauti ya wasukuma na watu wa Arusha developed city ilipo
Picha hazifunguki...sasa Arusha kuhusu malls huku zipo zaid ya 5 labda ulete vitu vingineMwanza sio level ya vizizi vya watu laki laki kama njombe..tushatoka huko kitambo..
[emoji1787][emoji1787]
Level yetu ni milioni+ ..kama huna pop hyo don't battle us utaumia [emoji116]
Proposed construction of Mwanza city mall to be built in nyamagana municipal.. mwanza city council View attachment 2592368View attachment 2592369View attachment 2592370View attachment 2592371
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko wapi ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hvyo viplaza ndo unaita mallPicha hazifunguki...sasa Arusha kuhusu malls huku zipo zaid ya 5 labda ulete vitu vingine
Mbna mnazid kushuka na vip kusingekuwa na promotion ya utalii hiv kumbe mngezidiwa na singida eeeh maana, mji wa Masai wamekimbilia porin kuchunga mmebaki kalaki na sio kamilionPicha hazifunguki...sasa Arusha kuhusu malls huku zipo zaid ya 5 labda ulete vitu vingine
Ametawala miaka mitano TU ulitaka Kila kitu amalize yey au ukabila na roho mbaya zenu juu ya lake zone znawasumbua sana,Arusha Airport hiyo inapanuliwa ..Jiwe amekufa kaskazin sasa imefungukaView attachment 2592651
Ulisema sanawar ipo kata gan?Arusha Airport hiyo inapanuliwa ..Jiwe amekufa kaskazin sasa imefungukaView attachment 2592651
Kijana Malls huku ni kama bars zimejaaa tele kijanaZiko wapi ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hvyo viplaza ndo unaita mall
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma kibao wamejaa Arusha ase na wanafanya biashara wengine waneajiriwaAmetawala miaka mitano TU ulitaka Kila kitu amalize yey au ukabila na roho mbaya zenu juu ya lake zone znawasumbua sana,
Actually huwez Kuta msukuma anafanya biashara huko labda kaajiriwa maan ukabila umewajaa mtu kutoka mikoa mingine hapat wateja,, this is madness
Sanawari ni kata mkuu ipo wilaya ya arumeruUlisema sanawar ipo kata gan?
Acha uongo ..Iko wap hapSanawari ni kata mkuu ipo wilaya ya arumeru
Sanawari ipo kata Ilboru hapo
Kata ya ilboru ni vijijini na Ina watu 9000 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sanawari ipo kata Ilboru hapoView attachment 2593012
Uongo mkubwa mnaukabila mno na roho mbaya sana hakuna asiye wajua wachaga ukifungua biashara hko labda upitie mgongo wa mchaga aonekane mmiliki lakin bila hivo ni shidaWasukuma kibao wamejaa Arusha ase na wanafanya biashara wengine waneajiriwa
Yule @ Quality control alisema Iko wilaya nyingine tofaut na ARUSHA DC wakat ipo Arusha DC ππKata ya ilboru ni vijijini na Ina watu 9000 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisema ipo wilaya nyingine mm Kazan sio ARUSHA DC kumbe ipo Arusha DC,, Sasa mnautofaut gan na shinyanga maana napo KunaSanawari ipo kata Ilboru hapoView attachment 2593012