KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Duuh😭KONK MASTER Haha unaona mambo hayoView attachment 2596956
Hii Inchi bwana Ina mambo sasa wanategemea huo mnara wa dodoma utakuwa ni kivutio Cha watalii kama ilivo ule wa franceDuuh[emoji24]
Hamna kitu labda wanapamba mji tuHii Inchi bwana Ina mambo sasa wanategemea huo mnara wa dodoma utakuwa ni kivutio Cha watalii kama ilivo ule wa france
Ujue hii nchi haina mipango wala mikakati, Kanda ya ziwa ndio wanaongoza kwa sector ya ujenzi na hakuna kiwanda hata kimoja cha cement, tukisema kuna hujuma watu wanashupaza shingo.Huyo Jamaa aliye comment hapo chini ameniacha Sina mbavu 🤣🤣🤣🤣View attachment 2597938
TBA hata mwanza wanajengaHarafu anatoka Mwanakijiji huko Nyehunge anakuja kulinganisha Arusha na mwalo wa Mwanza [emoji1787][emoji1787]
Chuga is on [emoji91][emoji91]
Wanajenga nini?
Aisee una camera Kali .... endelea kutupa rahaLeo nimeamini kwanini mwanza inaongoza kwa majengo mapya
Nimezaliwa mwanza,nimekulia mwanza,naishi mwanza nipo mwanza muda huu
Leo nimejaribu kwenda mwisho kabisa wa jiji la mwanza aiseee!!! nimeshangaa kuona mjengo mingi isiyo na watu. watu wamejega wakasepa hakuna mabarabara,vituo vya afya,wala bodaboda,maduka,kituo cha police wala soko
Vijana pesa zipo tupambane,nilishindwa kufika huko mbele sababu ya ubovu wa mabarabara
Nilipata mwenyeji,hii picha nilipata ka mwinuko ikanibidi nipate ka picha ka kumbukumbu[emoji1787][emoji1787]
Kutoka huku hadi buhongwa ni zaidi ya km 50+ ila proArusha kazi mnayo[emoji3]View attachment 2598508
Kuna nguruwe lilisema ilemela Ni mapori [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...ebu endelea kuliaibishaSipajui dot.comView attachment 2598517View attachment 2598524
Ni mtaa wa maeneo ganSipajui dot.comView attachment 2598517View attachment 2598524
Kama sikosei ni samike
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ilemela ni moto mkubwaKuna nguruwe lilisema ilemela Ni mapori [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...ebu endelea kuliaibisha
Sent using Jamii Forums mobile app