Hii project kwa taarifa yako Ina 20bil vs 19bil ya kile unachotamba nacho. Leta kitu kingine nikujibu muda unaniruhusu
Wewe kama.huna hoja kaa kimya sio kuropoka upumbavu wako hapaHuyu ifike mahali apambanie mkoa wake wa njombe. Naamini tunawasakama watu wa Arusha kwasababu ya mpumbavu mmoja wa njombe. Unafikiri machalii wa Arusha hawaoni huu Uzi ni kwamba wao niwaelewa sasa mwanawanging'ombe kichwa imechemka. Ila twende naye hivi hivi Kuna siku ataelewa.
Wewe si KIBOGA tu ushawahi kuwa na hoja lini NYAMBAFU ZAKO. nyamaza ya nyokoWewe kama.huna hoja kaa kimya sio kuropoka upumbavu wako hapa
Kama ni kushindanisha basi Mwanza inazidi Arusha kwa mambo yafuatayo :Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.
Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.
Karibuni mchangie
Mkuu laizerg hivi huu mradi wa sport comple wa malya ulishaanza?Nasema tukienda hivyo utakimbia
View attachment 2519412View attachment 2519414View attachment 2519415View attachment 2519416
Malya hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji2957][emoji2957][emoji38][emoji38]Kama ni kushindanisha basi Mwanza inazidi Arusha kwa mambo yafuatayo :
1. Kudhulumu maisha ya ma-albino
2. Hela za ndago
3. Ushamba wa wenyeji wa huko kiwango cha lami
4. Uchafu wa mji hata watu binafsi
5. Huko ndo magagula yamejaa
6. Ulaji usiofaa (mapenzi)
7. Wizi, unyang'anyi na dhuluma za kireja reja
8. Ulimbukeni
9. Na mengine kama hayo
Hivyo kwa [emoji817] mnaipiku Arusha
Unanuka kizibo kama washamba wenzio.Wewe si KIBOGA tu ushawahi kuwa na hoja lini NYAMBAFU ZAKO. nyamaza ya nyoko
Arusha ipo vizuri sana. Mwanza na arusha ni mbingu na ardhi. Arusha next level.
Mkuu alibino na vikongwe unaongelea shinyanga tena zamani, ndagu unaongelea Tanzanua nzima.Kama ni kushindanisha basi Mwanza inazidi Arusha kwa mambo yafuatayo :
1. Kudhulumu maisha ya ma-albino
2. Hela za ndago
3. Ushamba wa wenyeji wa huko kiwango cha lami
4. Uchafu wa mji hata watu binafsi
5. Huko ndo magagula yamejaa
6. Ulaji usiofaa (mapenzi)
7. Wizi, unyang'anyi na dhuluma za kireja reja
8. Ulimbukeni
9. Na mengine kama hayo
Hivyo kwa [emoji817] mnaipiku Arusha
Unajipendekeza kwa machalii WALISHAKUBONG'OA si bure.Unanuka kizibo kama washamba wenzio.
Kiangazi gumboat,masika gumboat yaani nyie ni wachafu hatari
Mbona unaniogopa mzee wa posh neighborhood [emoji1][emoji1][emoji1] arusha haina mapafu ya kubattle na Mwanza hadi dunia inaishaUnanuka kizibo kama washamba wenzio.
Kiangazi gumboat,masika gumboat yaani nyie ni wachafu hatari
Najibu kwa nambaKama ni kushindanisha basi Mwanza inazidi Arusha kwa mambo yafuatayo :
1. Kudhulumu maisha ya ma-albino
2. Hela za ndago
3. Ushamba wa wenyeji wa huko kiwango cha lami
4. Uchafu wa mji hata watu binafsi
5. Huko ndo magagula yamejaa
6. Ulaji usiofaa (mapenzi)
7. Wizi, unyang'anyi na dhuluma za kireja reja
8. Ulimbukeni
9. Na mengine kama hayo
Hivyo kwa [emoji817] mnaipiku Arusha
Ngoma inogile kaka, hapa nawasubiri waruke ruke tu kama maharage yanayochemshwa niwape za USO.Mkuu laizerg hivi huu mradi wa sport comple wa malya ulishaanza?
Waambie Tindiga /Hadzabe ambao wanakaa uchi mpake kesho wanapatika Arusha yaani bado wanaishi Maisha ya mwaka 1800's bado hao wamasai wanashinda matako wazi .Najibu kwa namba
3. Mmasai ana ujanja Gani si ndo mbwa wetu magetini
4. Unga limited Kuna usafi Gani 😀😀, ubinafsi ni kipengele kwa Arusha tuondolee tabia zenu.
5. Kaloleni unapajua wewe, mpaka wanaume wanawekwa. Na dada zenu ndo bar maids wa Mwanza na dsm na wanauza si poa
6. Hoja yako hata haieleweki una lenga ulaji upi specify tukusaidie.
7. Tatu mzuka unaijua wewe, mara ngapi mnawaibia wazungu hapo yaani mtu asiyetumia bangi awe mwizi kushinda mvuta bangi?. Kajipange mdogo wangu.
8. Kushobokea wazungu na kuiga miondoka ya wakenya kwenu ni ujanja. 😀😀😀 Sawa limbukeni legend.
9.hujasema matako baa pale mianzini wanawekana kuanzia saa mbili asubuhi kama chai
Kama washamba wanaishi sehemu inayowaka namna hiii basi utakua na matatizo ya akili... hiii picha imepigwa kwa kutumia simuKama ni kushindanisha basi Mwanza inazidi Arusha kwa mambo yafuatayo :
1. Kudhulumu maisha ya ma-albino
2. Hela za ndago
3. Ushamba wa wenyeji wa huko kiwango cha lami
4. Uchafu wa mji hata watu binafsi
5. Huko ndo magagula yamejaa
6. Ulaji usiofaa (mapenzi)
7. Wizi, unyang'anyi na dhuluma za kireja reja
8. Ulimbukeni
9. Na mengine kama hayo
Hivyo kwa [emoji817] mnaipiku Arusha
Ndo ulimbukeni huo kama hujui, shobo shobo tu za kijinga. Ushawahi kusikia wazanzibar wanajisifu na huu ujinga?. Au mkoa mwingine zaidi yenu.Ivi bado kuna mambanga wanaleta ushindani wa kijinga juu ya jiji letu Chugastan? Yani hadi raisi mstaafu wa USA aliliita jij “Geneva of Africa” bado kuna mapimbi wanaleta ushamba wao baada ya kula na kunya ziwani kama kawaida wanapungua uwezo wa kufikiri