nadhani leo hawajakukodisha maana mpaka wadau wameshakufungulia uziVp mkuu leo nimeandika maada nzur et
hahahaaVp mkuu leo nimeandika maada nzur et
Duh kwahiyo mkuu kuifananisha new york na paris ni upuuz kama upuuz mwingineAcha kufananisha jiji la New York na upuuzi wowote. Trump New York ziko biashara zake yeye kwa sasa anaishi Washington DC ndiko ilipo White House. Rihanna makazi yake makubwa ni Los Angeles kule maskani ya mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Ja Rule ndio mtoto mzaliwa wa New York
Asante sana ndugu yangu mungu akubalik sanaBinadam Tunatofautina Kimawazo Kufikili Na Kira Kitu
Wew Ni Binadam Kama Binadam Wengine Hunauwezo Wa Kufuraisha Watu Wote Hapa Dunian
Tangu Uzaliwe Ushakutana Na Vikwazo Vingap....??
Icho Cha Jf Ndio Kimekuuma Sana Ndugu Yangu....???
Endelea Kufanya Mambo Ambayo Yanawafuraisha Wale Wanaoamin Unawafuraisha Hao Wengine Waache Na Wao Wafanye Yao
Asante sana mimi natokea kwenye jiji hili la MWANZA MWANZAUnapenda kuzungumzia vya wengine vyako je?
Late habari na picha za majiji yako :Arusha vs Mbeya, Dsm vs Mwanza nk.
Huko New York na Paris kuna wenyewe mjomba na si wewe!
Anyway thread kidogo ina utafauti mkubwa na blah blah za kitoto ulizozoea kuleta hapa. Big improvement.
Ndio Japan mkuu kwa akina Samurai.Tokyo japan au wapi
Na 50 CentAcha kufananisha jiji la New York na upuuzi wowote. Trump New York ziko biashara zake yeye kwa sasa anaishi Washington DC ndiko ilipo White House. Rihanna makazi yake makubwa ni Los Angeles kule maskani ya mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Ja Rule ndio mtoto mzaliwa wa New York
Hiyo inapambana na Tokyo,Beijing na Shanghaihv NYC uifananishe na kijiji cha Paris .?!!..labda kama unazungumzia masuala mengine hapo sawa ila kama miundo mbinu hakuna city yeyote ya kuifukuzia NYC
Mi mtu wa Mwanza pia, ila hili jengo limekaa kama spaceship ya aliens waliyoitelekeza hapa duniani miaka ya 50.Watu wa Mwanza(beira baby) mavyopenda kuringia jengo la Rock City Mall, utafikiri halina expansion joints!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Watu wa Mwanza(beira baby) mavyopenda kuringia jengo la Rock City Mall, utafikiri halina expansion joints!