NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Hehehe
Kenya
Tanzania
Kenya
Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo la UDSM lilikuwa hapo for exhibition purpose, na si barabaraniHehehe
Kenya
![]()
Tanzania
![]()
Kwa hivo lijengwe ovyo kisa ni la exhibition? 🤣Hilo la UDSM lilikuwa hapo for exhibition purpose, na si barabarani
🤣🤣Haka kagari ketu ka kitanzania kameonyesha ubunifu mpya maana hakafanani na gari lolote dunia hii, ingawa hatutathubutu kukapanda
Yeah, students' project. Was just a model design, don't take it seriously. Kama umesoma hadi university utanielewaKwa hivo lijengwe ovyo kisa ni la exhibition? 🤣
Boss, universities make the best things, Kiira Motors in Uganda was built by Makerere University students and it's good quality. Acha excuses.Yeah, students' project. Was just a model design, don't take it seriously. Kama umesoma hadi university utanielewa
Limeshawahi kusafiri hadi Mwanza na kurudi. Sema tu Sokoni bado halijawekwaHilo la UDSM lilikuwa hapo for exhibition purpose, na si barabarani
Utakapokuwa umefika muda wa kuliweka sokoni, litavalishwa sasa ile sura nzuri ya kuvutia wateja kama wewe. Sasa hivi bado wako kwenye majaribio, model iliyopo ni kwa ajili ya majaribio tuKwa hivo lijengwe ovyo kisa ni la exhibition? 🤣
Unashindana na mtu ambaye unaona ni superior kwako ili uweze kupiga hatua. Inferiors wako huwezi kushindana nao, ila wao ndiyo wanaweza kuwa wanashindana na wewe, hata pasipo wewe kuwa na taarifaWakenya mnapenda kushindana na waTanzania.
Kwani tatizo nini?
It is the other way round. Mnapenda kushindana na Kenya sana. Hii tabia yafaa muache.Wakenya mnapenda kushindana na waTanzania.
Kwani tatizo nini?
Maskini wana tabia za kushindana,usishangaeWakenya mnapenda kushindana na waTanzania.
Kwani tatizo nini?
Wakenya mnapenda kushindana na waTanzania.
Kwani tatizo nini?
Unashindana na mtu ambaye unaona ni superior kwako ili uweze kupiga hatua. Inferiors wako huwezi kushindana nao, ila wao ndiyo wanaweza kuwa wanashindana na wewe, hata pasipo wewe kuwa na taarifa
Maskini wana tabia za kushindana,usishangae
Most threads za ushindani hapa zimeanzishwa na Wabongo. Stop projecting. Kama hiziWakenya mnapenda kushindana na waTanzania.
Kwani tatizo nini?
Ukiona mtu anajiinganisha na wewe furahi usilalamike; kwa sababu kama anafanya hivyo, pasipo shaka wewe unakuwa ni role model kwakeMost threads za ushindani hapa zimeanzishwa na Wabongo. Stop projecting. Kama hizi
1. Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania
2. Battle: Dar es Salaam vs Nairobi
3. EACOP vs Lamu pipeline
4. Airports: Kenya vs Tanzania
5. Kisumu port vs Kigoma port
6.Raia wa Kenya ni masikini kuliko Watanzania
7. Bandari ya Mombasa yaporomoka kwa kasi kwa ubora, yapitwa na bandari ya Dar
8. Kwanini Wakenya wanaihofia Sana Tanzania?
9. Kisumu vs Mwanza
10. Jiji la Nairobi ni dogo sana ukilinganisha Dar es Salaam lenye ukubwa mara tatu
Kirahisirahisi nimekutajia nyuzi 10 zilizoanzishwa na Watanzania wakijilinganisha na Kenya. Mimi nipe tu tano pekee za Wakenya wakijilinganisha na Tanzania tuongee facts.
cc Hoshea
Wala sijalalamika, nilikuwa nakukosoa tu wewe na mwenzio mnaposema Wakenya tunapenda kujilinganisha na Wabongo yet the opposite is true.Ukiona mtu anajiinganisha na wewe furahi usilalamike; kwa sababu kama anafanya hivyo, pasipo shaka wewe unakuwa ni role model kwake
Furahi; hizo ni dalili kuwa Kenya yetu iko juu!Wala sijalalamika, nilikuwa nakukosoa tu wewe na mwenzio mnaposema Wakenya tunapenda kujilinganisha na Wabongo yet the opposite is true.
Not forgetting the charging infrastructure.
BasiGo Kenya
View: https://www.youtube.com/watch?v=qJM8oH83P58