Battle royal: Kampala vs Dar es Salaam

Haha wakenya mmehamia huku mmekimbia aibu zenu za kuonyeshwa kibera
 
Kampala inawatoa vumbi bana. Sisai tulihamia Cape Town VS Nairobi.
Msivyo na aibu wakazi wa kibera ndo mnapiga kelele humu kuliko hata waganda wenyewe yaani nyie ndo maana wazungu wanawapenda wanawawowa mnashobo kuliko maelezo
 
Msivyo na aibu wakazi wa kibera ndo mnapiga kelele humu kuliko hata waganda wenyewe yaani nyie ndo maana wazungu wanawapenda wanawawowa mnashobo kuliko maelezo
Ingia muhimbili nashuku uginjwa wa moyo unakudhuru. Ligi yenyu ni Kampala ila naona wanawatoa vumbi hata pande ya barabara... Tanzagiza bure kabisa.
 
First thing first, Dar is the city of 5 million people. Second, where are Uganda's to speak from themselves, why Kenyans are speaking for Uganda's?
Wakiambiwa wana shobo wanalialia
 
Ama kweli kichapo cha dar kimefanya watu wamedata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Wamekimbia na chupi mkononi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…