jobless tycoon
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 675
- 327
ila nairobi katuzidi.....ingawa kwa hiv sasa dar ni moja ya miji inayokuwa kwa speed in sub sahara africaMay be you are not ok, kufananisha Dar na Kampala .Tembea sio picha za mitandaoni ,mm ni businessman nasafiri kwa mwezi naweza kutembea Kampala, Nairobi ,Arusha ,Dar na Lusaka .May be kama ukilinganisha na Nairobi inaisogelea Dar kwa karibu ila Dar inakua sana ,Kama upo Uganda nenda Nairobi na Dar ndio utaona huko hamna kiti