warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Huyo Mtunisi mwenyewe anavyojichubuaaaa mhhh miye hoiiii? :A S-confused1: kama Dida tu
Anakwambia ndio alivyo, na jamaa ana maringo na maneno machafu kama muimba taarabu, kutwa uko insta yeye mafumbo tu, yeye na mwenzie ray wanapenda sana kuropoka