Huyo Mtunisi mwenyewe anavyojichubuaaaa mhhh miye hoiiii? :A S-confused1: kama Dida tu
Aje ajitake? Chezeya jf nn? Mwenyew kakimbia, uku staa ukija lazima ujipange kabla hujapangwa
Uku kuna mamafia
ANgefurahi na huyo nzungu wake hakyanani, na tunaisubir hyo ndoa apa, sie tupo wachawi kama kawaida yetu
Batuli hapendwi hata na hao bongo movie wenzie...wanasema anaringa sana,mzuri yeye kila kitu yeye..
Hahahaaaaaa warumi ur killing me hahhaaahh, hta mi huyu batuli ni kat ya wasichana wachache sana bongo muv nliodhan wanaakil kumbe nae hamnazo tu! Mweh yan hta maneno anayoongea tu thyvr so cheap ptuuuuu!!!!
Anakwambia ndio alivyo, na jamaa ana maringo na maneno machafu kama muimba taarabu, kutwa uko insta yeye mafumbo tu, yeye na mwenzie ray wanapenda sana kuropoka
Siku izi libatuli sijui linavuta bhang? Izi ni hasira za kuachwa maana jamaa alimwambia ameoa aache kuongea upuuzi kwenye mitandao, naona bibie kapanick , kala ndimu hadi zimemkinai kaamua atoe ya rohoni
Wazungu wenyewe wa kukutana double tree leo kesho wanatangaza ndoa, atasubir sana na ivi ana mitoto miwili sijui nani anatakaga mizigo siku izi, atajibeba , movie zimemshinda anaanza umalaya