Batuli, Nampenda sana Mtunisi

Batuli, Nampenda sana Mtunisi

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
923161_257897011018457_2070255396_n.jpg
Batuli

Kwa mara nyingine , staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘ Batuli ’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpendamwanaume kama alivyompenda NiceMohammed ‘ Mtunis ’ .Staa wa sinema za Kibongo , Yobnesh Yusuf‘ Batuli ’Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni.

Batuli alisema licha ya kuwa walimwaganana staa huyo lakini hatokuja kupendamwanaume kama alivyompenda Mtunis .“Nilivyompenda Mtunis ni ngumu sana kumpenda mwanaume mwingine kama hivyo na kwa kawaida kupenda huwa ni mara moja tu mengine tutadanganyana, alisema Batuli.

Hivi karibuni Batuli aliripotiwa kutikisa ndoaya Mtunis ikidaiwa kuwa bado ana uhusiano naye lakini cha ajabu mtoto wa kike hakuonesha dalili zozote za kukanusha taarifa hizo .
 
Hivi huyu Batuli kwani hajaolewa? Hivi ukiwa bongo movie lazima upitie milembe eeh,... Mtunis mwenyewe ni player tu si alizaa na Pauline Zongo.
 
Wa kike mbona hamna kaba ?? Kila kitu chako cha ndani utoe Nje ili ?? :shut-mouth:
 
ni vizuri mkamuuliza maana batuli mwenyewe yumo humu JF
 
Huyu Mtunis aliyeimbwa na Paulin Zongo kuwa hawezi kupasua "mahindi"?:der:
 
Kwani nani kamwambia anamchukia? Wabongo movie bwana mbwembwe nyingi kila cku men mpya hivi aka ka grid ya taiga akawagusi? Au ndo mnajisunda madumu ya madawa asubui badala chai!!
 
huyu mwenzetu vp kwani,unataka kujifanya we ndo mtetezi au una ugomvi na warumi?kwani kakusoea nini jamani?acha ulugaluga fanya yako,hayo waachie wenyewe wambea au umetumwa???kama jini makata vile.hovyooooooo!
mliokuja na mbio za mwenge mjini lazima muwaite wanamuji warugaruga, wewe unauza kinondoni leo unajiona mjanja enzi zetu za kununuwa nyapu tulikuwa tunaenda magoti, then kujirusha seven floor. wewe kipapa ulikuwa wapi kipindi hicho?
 
mliokuja na mbio za mwenge mjini lazima muwaite wanamuji warugaruga, wewe unauza kinondoni leo unajiona mjanja enzi zetu za kununuwa nyapu tulikuwa tunaenda magoti, then kujirusha seven floor. wewe kipapa ulikuwa wapi kipindi hicho?

heeee!ushanshahau mara hii??kule kule tunapokutana sinorita!
 
Back
Top Bottom