BAVICHA: Abdul akitekwa Samia atakaa kimya?

BAVICHA: Abdul akitekwa Samia atakaa kimya?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
1000030258.jpg
 
Huo msako wake ni hatari, mpaka uvungunj, mixer mitungi ya maji kubomolewa 😂

Kama bavicha wanataka kuona kitakachojiri, wajigeuze wasiojulikana, wamteke kisha sasa ndio wataiona june july yake...

CHIZI ANACHEKESHA AKIWA HATOKI KWENYE FAMILIA YAKO.
 
Huo msako wake ni hatari, mpaka uvungunj, mixer mitungi ya maji kubomolewa 😂

Kama bavicha wanataka kuona kitakachojiri, wajigeuze wasiojulikana, wamteke kisha sasa ndio wataiona june july yake...

CHIZI ANACHEKESHA AKIWA HATOKI KWENYE FAMILIA YAKO.
Mpuuzi wewe nani? Je! Akipitezwa na aMungu kwa maombi ya watakatifu ninyi mtafanyaje? Alivyopotezwa yule Shujaa wenu na Mungu mlifanyaje? Acha ujinga wewe, "The Spiritual Realm rules the Physical Realm"
 
Mpuuzi wewe nani? Je! Akipitezwa na aMungu kwa maombi ya watakatifu ninyi mtafanyaje? Alivyopotezwa yule Shujaa wenu na Mungu mlifanyaje? Acha ujinga wewe, "The Spiritual Realm rules the Physical Realm"
Una stress za maisha au akili ndio huna!? 😂

Kusoma unajua sina shaka na hilo, ila kuelewa sasa ndio changamoto yako, jitahidi uelewe unachosoma. 😂
 
Back
Top Bottom