Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chadema kama sehemu ya wamanchi wema tuyashiriki huku tukiendelea kuhimizana umuhimu wa Katiba Mlya kwa maendeleo ya nchi yetu.Baada ya kusikia Bavicha wanafanya kongamano la Katiba mpya mkoani Mara , Mkuu wa Mkoa huo ameleta siasa za kishamba za kutangaza kuwa kesho ni siku ya usafi mkoani humo , na kwamba usafi huo utafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama .
Hata hivyo Bavicha imetangaza kuunga mkono juhudi za usafi zilizotangazwa na RC na kwamba kila mwanachama wa Bavicha anatakiwa kuwepo na kushirikiana na wana usalama kufanya usafi huo
View attachment 1922894
View attachment 1922895
Iringa alijikuta makaburini asubuhiHappi ana siasa za kiswahili sana!
Hii ameiga kwa aliyekuwa RC wa Dar es salaam Paul Makonda!
RPC wake Ni mtu smart sana,sijui Kama anaweza kuluhusu ujinga wa Happi.Happi ana siasa za kiswahili sana!
Hii ameiga kwa aliyekuwa RC wa Dar es salaam Paul Makonda!
Mizengwe itatafutwa kuzuia wote waliovaa nguo za aina fulani hawaruhusiwi kufanya usafi!Chadema kama sehemu ya wamanchi wema tuyashiriki huku tukiendelea kuhimizana umuhimu wa Katiba Mlya kwa maendeleo ya nchi yetu.
Na ikampunguzia nini?Iringa alijikuta makaburini asubuhi
Mbwa kala MbwaBaada ya kusikia Bavicha wanafanya kongamano la Katiba mpya mkoani Mara , Mkuu wa Mkoa huo ameleta siasa za kishamba za kutangaza kuwa kesho ni siku ya usafi mkoani humo , na kwamba usafi huo utafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama .
Hata hivyo Bavicha imetangaza kuunga mkono juhudi za usafi zilizotangazwa na RC na kwamba kila mwanachama wa Bavicha anatakiwa kuwepo na kushirikiana na wana usalama kufanya usafi huo
View attachment 1922894
View attachment 1922895
Majibu anayo mwenyeweN
Na ikampunguzia nini?