Bavicha wafika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya Simba na Yanga

Vijana Bora sana,bila shaka babu zetu,Mandela,Kwameh Nkurumah,Samora,Nyerere,Karume,huko waliko watakuwa wanapata ahueni kwamba angalau damu yao ipo kwa Hawa vijana
 
Bavicha mision zao huwa ni za kipumbavu sana aisee
 
Wamenifurahisha sana kwa kuvaa fulana nyekundu. Ile rangi ya utopwinyo isingeleta hamasa kabisa. Ujumbe umefika karibuni sana bavicha
 
Wamenifurahisha sana kwa kuvaa fulana nyekundu. Ile rangi ya utopwinyo isingeleta hamasa kabisa. Ujumbe umefika karibuni sana bavicha
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…