BAWACHA kuandamana leo Dar es Salaam

BAWACHA kuandamana leo Dar es Salaam

Maandamano ya leo lengo ni kufikisha ujumbe kwa Wananchi wa Tanzania kuwa fedha zenu zinaliwa.

Kila Mtanzania anatakiwa kujuwa kuwa kodi zake zinatumika kuwalipa akina Mdee na wenzake ambao hawastahili na badala yake zitumike katika shughuli nyingine za kimaendeleo.

Sasa wewe hutaki wafanikiwe nini?

Hizo fedha wanazolipwa kina Mdee ni bora hata zingepelekwa ustawi wa Jamii kuwasaidia watu wanaoteseka na maisha magumu.


#Free Dawa Juma.
Dawa Juma dawa,

Na msemo wa kunguru.....mwoga na ule usemi wa Mwana kulitafuta Mwana kulipata..................
 
Hivi vijimsemo msemo vya kijinga kijinga ndio vimemfanya Mwafrika kuchukuliwa Utumwa na wenzake.

Kwa mfano "hewala si Utumwa" wakati hewala ni Utumwa.
Labda kama Watanzania wote wangekua ni jamii ya wakurya.... sorry to say that
 
Hamna kitu. Maigizo tu haya. Walikuwa wapi kipindi kile cha vuguvugu la kuhoji maamuzi ya spika kuwabakiza hawa viumbe bungeni?

Leo wanasubiri miezi sijui mwaka umepita ndio waandamane, mbowe anatumia zile pesa za kwenye bahasha kuwahadaa watz.

Mbowe atolewe kwenye nafasi ya wenyekiti apewe Heche. Hicho chama kitasimama.
 
Hamna kitu. Maigizo tu haya. Walikuwa wapi kipindi kile cha vuguvugu la kuhoji maamuzi ya spika kuwabakiza hawa viumbe bungeni?

Leo wanasubiri miezi sijui mwaka umepita ndio waandamane, mbowe anatumia zile pesa za kwenye bahasha kuwahadaa watz.

Mbowe atolewe kwenye nafasi ya wenyekiti apewe Heche. Hicho chama kitasimama.
Aisee
 
Hahaha

#Free Dawa Juma.
Huyu dawa Juma dawa ni kufanya fundraising atoke then aache ujinga atafute hata project ya kilimo afanye......

Na akitoka sure maisha Yake yanakua hatarini maana ni ELEMENT,
case study ni nyingi
......wanapelekwaga Kule ambapo watu wakienda hawarud period!!
 
Badala kuandamana kupinga hali ya maisha kuwa ngumu gharama za bidhaa kupanda umeme mgao n.k wanaandamana kwa mambo ya kipuuzi.Hiki chama kinazidi kuwa cha hovyo
Kuna mambo mengi ya msingi ya kuyapambania wenyewe wanakomaa na COVID-19
Huko
Ndiko kupotezaa uelekeo...hope watakua wamepigwa mkwara na Uongozi wa juu wasitishe hiyo ajenda mara Moja...
 
Baraza la wanawake CHADEMA (BAWACHA) wametangaza kuandamana leo Dar es Salaam kuishinikiza serikali kuwaondoa bungeni wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA maarufu kama COVID 19.

Ni nini maoni yako.

Karibuni.
Sawa kabisa!
 
Yule Mwita Waitara mlie mhonga Lori la Pombe kutoka Breweries akahamia CCM.
Hunipati huko😁
😌

Umeanza kunitoa relini mwanzoni tu, kwa kutaka kunilazimisha niseme BAWITCHES wana wivu!

Haya. umesema wewe. Enhe
 
Back
Top Bottom