BAWACHA mkoani Tanga wanathibitisha utekaji na uuaji hauwafanyi watu kuwa waoga, bali kuwa majasiri wasio na lolote la kupoteza

BAWACHA mkoani Tanga wanathibitisha utekaji na uuaji hauwafanyi watu kuwa waoga, bali kuwa majasiri wasio na lolote la kupoteza

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hawa watu kama wanafikiri kuteka na kuua watu ndio kutafanya watu wawe waoga, kwa hakika wanakosea sana, na aliewashauri aliwadanganya kwa kutokuja na kwa kutofanya research ndogo tu kujua kama vitendo hivi sehemu zingine duniani zimewahi kuwa msaada kwa watawala.

Hapa napoandika, huko Tanga, kina mama wa CHADEMA(BAWACHA) walikusanyika na kuanza kuimba, " hakuna muaji kama SSH (wakimtaja kwa jina) na hatakuwepo" .

Kwa kifupi, hawa wamama wakiwa kundi, wameimba hivyo mchana kweupe bila hofu wala woga(clip iko katika akaunti ya Ntobi wa CHADEMA kwenye mtandao wa X) na imepostiwa siku ya jana.

Ukiacha hawa wamama, utagundua tangu mauji ya mzee Kibao yatokee, watu mitandaoni wameendelea kufunguka na ukosoaji ndio umeongezeka tena kwa lugha kali zaidi na kwamba watu wanaona hawana tena cha kupoteza.

Siku zote iko hivi: unapoua au kutesa watu kwenyemaandamano, n.k, wanaobaki hugeuka kuwa ndugu moja na hivyo inakuwa rahisi kuungana huku wakiamini hawana tena cha kupoteza. Kwahiyo, hata wale waliokuwa na hofu, nao huoni ni bora kama ni kufa nao wafe tu kwani kama ndugu na jamaa zao(majirani, n.k) teyari wamekufa, kuna shida gani na wao wakifa?

Hii spirit ndio ambayo huchochea maandamano duniani kote Kwasbabu risasi na mabomu yanayotumika kumwaga damu, ndio hegeuka nguvu ya kuwaunganisha watu badala ya kuwarudisha nyuma.

Hivyo, kuteka na kuua, sio strategy sahihi ya kuwanyamazisha watu ili muwatawale, bali ni miscalculation ya hesabu zenu za kubaki madarakani, na kama ni mtihani, basi mmeshafeli vibaya.

BAWACHA mkoani Tanga wameonysha mfano, sasa endeleni.
 
tukileta fbi UVCCM na baadhi polisi watakalia kuti kavu
 
Kwa sasa, watu wote wema, wanaopinga vitendo viovu vya watawala na wanaotetea maslahi ya nchi, bila ya kujali kama wapo vyama vya upinzani au ndani ya CCM, wanajua kabisa kuwa kama siyo wao wenyewe au ndugu zao au marafiki zao, wakati wowote ule wanaweza kuwa wahanga wa serikali ya wauaji. Hofu na ukweli huu, umewaunganisha na kuondoa tofauti zao. Ndiyo maana unasikia mpaka akina Mpina akisema kuwa yeye hatakubali kutekwa, anasema hivyo kwa sababu anajua kabisa maharamia yaliyopo ndani ya CCM, na ndani ya Serikali yake, ukipingana nayo, tayari wewe ni target ya kukuteka na kukuua.

CCM ni shetani. Wote wente Roho wa Mungu tujitenge na CCM. Kama buvutiwi na chama chochote, ni aheri uwe huna chama kuliko kuwa sehemu ya wauaji.
 
Hawa watu kama wanafikiri kuteka na kuua watu ndio kutafanya watu wawe waoga, kwa hakika wanakosea sana, na aliewashauri aliwadanganya kwa kutokuja na kwa kutofanya research ndogo tu kujua kama vitendo hivi sehemu zingine duniani zimewahi kuwa msaada kwa watawala.

Hapa napoandika, huko Tanga, kina mama wa CHADEMA(BAWACHA) walikusanyika na kuanza kuimba, " hakuna muaji kama SSH (wakimtaja kwa jina) na hatakuwepo" .

Kwa kifupi, hawa wamama wakiwa kundi, wameimba hivyo mchana kweupe bila hofu wala woga(clip iko katika akaunti ya Ntobi wa CHADEMA kwenye mtandao wa X) na imepostiwa siku ya jana.

Ukiacha hawa wamama, utagundua tangu mauji ya mzee Kibao yatokee, watu mitandaoni wameendelea kufunguka na ukosoaji ndio umeongezeka tena kwa lugha kali zaidi na kwamba watu wanaona hawana tena cha kupoteza.

Siku zote iko hivi: unapoua au kutesa watu kwenyemaandamano, n.k, wanaobaki hugeuka kuwa ndugu moja na hivyo inakuwa rahisi kuungana huku wakiamini hawana tena cha kupoteza. Kwahiyo, hata wale waliokuwa na hofu, nao huoni ni bora kama ni kufa nao wafe tu kwani kama ndugu na jamaa zao(majirani, n.k) teyari wamekufa, kuna shida gani na wao wakifa?

Hii spirit ndio ambayo huchochea maandamano duniani kote Kwasbabu risasi na mabomu yanayotumika kumwaga damu, ndio hegeuka nguvu ya kuwaunganisha watu badala ya kuwarudisha nyuma.

Hivyo, kuteka na kuua, sio strategy ya kuwanyamazisha watu ili muwatawale, bali ni miscalculation ya hesabu zenu za kubaki madarakani.

BAWACHA mkoani Tanga wameonysha mfano, sasa endeleni.
Poleni kwa kuondokewa na mwalimu wenu wa ugaidi
 
Jiwe alipelekea watu moto, leo yuko wapi?
Kifo ni kwa kila mtu- kililetwa na Mungu mwenyewe; hakitishi binadamu labda wachafu kama nyinyi. Poleni wanachama wa chama cha watekwaji
 
Hawa watu kama wanafikiri kuteka na kuua watu ndio kutafanya watu wawe waoga, kwa hakika wanakosea sana, na aliewashauri aliwadanganya kwa kutokuja na kwa kutofanya research ndogo tu kujua kama vitendo hivi sehemu zingine duniani zimewahi kuwa msaada kwa watawala.

Hapa napoandika, huko Tanga, kina mama wa CHADEMA(BAWACHA) walikusanyika na kuanza kuimba, " hakuna muaji kama SSH (wakimtaja kwa jina) na hatakuwepo" .

Kwa kifupi, hawa wamama wakiwa kundi, wameimba hivyo mchana kweupe bila hofu wala woga(clip iko katika akaunti ya Ntobi wa CHADEMA kwenye mtandao wa X) na imepostiwa siku ya jana.

Ukiacha hawa wamama, utagundua tangu mauji ya mzee Kibao yatokee, watu mitandaoni wameendelea kufunguka na ukosoaji ndio umeongezeka tena kwa lugha kali zaidi na kwamba watu wanaona hawana tena cha kupoteza.

Siku zote iko hivi: unapoua au kutesa watu kwenyemaandamano, n.k, wanaobaki hugeuka kuwa ndugu moja na hivyo inakuwa rahisi kuungana huku wakiamini hawana tena cha kupoteza. Kwahiyo, hata wale waliokuwa na hofu, nao huoni ni bora kama ni kufa nao wafe tu kwani kama ndugu na jamaa zao(majirani, n.k) teyari wamekufa, kuna shida gani na wao wakifa?

Hii spirit ndio ambayo huchochea maandamano duniani kote Kwasbabu risasi na mabomu yanayotumika kumwaga damu, ndio hegeuka nguvu ya kuwaunganisha watu badala ya kuwarudisha nyuma.

Hivyo, kuteka na kuua, sio strategy ya kuwanyamazisha watu ili muwatawale, bali ni miscalculation ya hesabu zenu za kubaki madarakani.

BAWACHA mkoani Tanga wameonysha mfano, sasa endeleni.
Well
 
Back
Top Bottom