Pre GE2025 BAWACHA mlipomualika Rais Samia kama Mgeni Rasmi wananchi waliona hamna maana, kwa kuchoma vitenge nanyi mmethibisha kweli hamna maana!

Pre GE2025 BAWACHA mlipomualika Rais Samia kama Mgeni Rasmi wananchi waliona hamna maana, kwa kuchoma vitenge nanyi mmethibisha kweli hamna maana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salaam,

Hivi mlifikiria nini kumualika Rais Samia kama mgeni rasmi na mpaka mkampa tuzo? Mlishauriana kwwli mkaona hii ni good move na italeta matokeo chanya mbeleni? Yaani mnafikiria kama sio wanasiasa, hamna stratergy kabisa, ni kama watu mnaofanya vitu utafikiri hamna vichwa.

Mambo ni haki yenu yaliyopokwa kinyume na sheria, mkashangilia na kumtukuza mpaka mkawa hamna tofauti na akina Lucas Mwashambwa kushangilia mpaka mnabubujikwa na machozi (halafu wananchi wakiwaita CCM B mnakasirika)!

Sasa mmekosea kule, mkazinduka mmekuja kufanya madudu mengine tena🤦‍♂️! Kuna watu wanahali ngumu sana nchini, vitenge mlivyochoma vingeenda saidia wanawake wangapi? Mmeona Rais Samia kawaangusha mngechomoa tu sura yake pale parts zingine zikafanyiwa namna, walau hata wananchi wangeona hata kama mmeharibu bado mnafikiria kwa maslahi yao. Mgetafuta namna ya kufikisha ujumbe wenu huku maslahi ya umma yakiwa lengo namba 1.

Ni sawa na wale mtu analima kwenye kiwanja cha mtu mwingine mazao yamenawiri wanaenda kufyeka na kuyaharibu, wakati yangeweza kutumika kwa namna nyingine huku pia aliyefanya kosa anatumikia adhabu yake.

Yaani nyie CHADEMA kwa ujumla mbali na kulalamika kila kukicha na kurushiana vijembe na CCM hamna kitu mna offer kwa wananchi kutatua changamoto zao. Walau ACT Wazalendo huwa wanakuja na solution kwa changamoto wanazozitoa, lakini CHADEMA na wengine ni bure kabisa.

Leteni hayo mapovu kwa breki😅!
 
Hasira zinaishia kwenye vitenge
 
Dah. Yaani eti mbuzi anamualika fisi kwenye sherehe yake? Ukihitaji vihoja kama hivi piga *BAWACHA*CHADEMA# Bure kabisa utapata vichekesho zaidi
 
BAWACHA Wamefanya utoto ambao kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema anaendelea kuwapuuza , kuwadharau na kuwaona kuwa ni watu wasiojitambua na wanaoongozwa zaidi na mihemuko badala ya akili. Ndio maana jumuia yao Inaendelea kudumaa na kukosa uungwaji mkono kutoka kwa wanawake wengine.
 
Chadema ni genge la wahuni linaloongozwa na matukio
Yule mgombea waliozima yoka chama tawala mwaka 2015 aliona mbali sana aisee.Ile dhana ya Elimu,Elimu na Elimu aliimanisha hali aliyokutana nayo kwenye hiki chama aisee.
 
Wakuu salaam,

Hivi mlifikiria nini kumualika Rais Samia kama mgeni rasmi na mpaka mkampa tuzo? Mlishauriana kwwli mkaona hii ni good move na italeta matokeo chanya mbeleni? Yaani mnafikiria kama sio wanasiasa, hamna stratergy kabisa, ni kama watu mnaofanya vitu utafikiri hamna vichwa.

Mambo ni haki yenu yaliyopokwa kinyume na sheria, mkashangilia na kumtukuza mpaka mkawa hamna tofauti na akina Lucas Mwashambwa kushangilia mpaka mnabubujikwa na machozi (halafu wananchi wakiwaita CCM B mnakasirika)!

Sasa mmekosea kule, mkazinduka mmekuja kufanya madudu mengine tena🤦‍♂️! Kuna watu wanahali ngumu sana nchini, vitenge mlivyochoma vingeenda saidia wanawake wangapi? Mmeona Rais Samia kawaangusha mngechomoa tu sura yake pale parts zingine zikafanyiwa namna, walau hata wananchi wangeona hata kama mmeharibu bado mnafikiria kwa maslahi yao. Mgetafuta namna ya kufikisha ujumbe wenu huku maslahi ya umma yakiwa lengo namba 1.

Ni sawa na wale mtu analima kwenye kiwanja cha mtu mwingine mazao yamenawiri wanaenda kufyeka na kuyaharibu, wakati yangeweza kutumika kwa namna nyingine huku pia aliyefanya kosa anatumikia adhabu yake.

Yaani nyie na CHADEMA kwa ujumla mbali na kulalamika kila kukicha na kurushiana vijembe na CCM hamna kitu mna offer kwa wananchi kutatua changamoto zao. Walau ACT Wazalendo huwa wanakuja na solution kwa changamoto wanazozitoa, lakini CHADEMA na wengine ni bure kabisa.

Leteni hayo mapovu kwa breki😅!
Walchofanya ni upuuzi mkubwa sana. Walipewa vile vitu wakati ule wakipongezana kwa mafanikio kadhaa yaliyofikiwa.
Kama kuna mambo yamebadilika hivi sasa ni swala la kuja na mikakati ya kuona wanakabiliana vipi na hali hii badala ya kurudi huko nyumba kwenda kutafutizatafutiza vitu visivyoeleweka
 
BAWACHA Wamefanya utoto ambao kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema anaendelea kuwapuuza , kuwadharau na kuwaona kuwa ni watu wasiojitambua na wanaoongozwa zaidi na mihemuko badala ya akili. Ndio maana jumuia yao Inaendelea kudumaa na kukosa uungwaji mkono kutoka kwa wanawake wengine.
Mkuu hawa watu wanasimbuliwa na ugonjwa wa kuwa hawajui na hajui kuwa hawajui.
 
Wale wanawake majasiri sana,wakamchoma moto hadharqni,safi sana
 
..Mama Abduli naye taupe jalalani tuzo aliyopewa na Chadema kwani ni chama chenye malengo ya kuvunja amani.
 
Back
Top Bottom