Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Mambo yanazidi kunoga huko jamani.
BAWACHA Pwani wamesema watatoa Tsh. Milionin1.5 kumchangia Mbowe achukue fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA sababu wanaamini kwenye uwezo wake.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Mbowe hii ndio surprise umeita mpaka press


Umeanza kutumia vizuri mbinu za CCM daaah, noma sana, tutaona mengi


PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka
BAWACHA Pwani wamesema watatoa Tsh. Milionin1.5 kumchangia Mbowe achukue fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA sababu wanaamini kwenye uwezo wake.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Mbowe hii ndio surprise umeita mpaka press



Umeanza kutumia vizuri mbinu za CCM daaah, noma sana, tutaona mengi



- Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka