Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Dec 18, 2024 #1 Mambo yanazidi kunoga huko jamani. BAWACHA Pwani wamesema watatoa Tsh. Milionin1.5 kumchangia Mbowe achukue fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA sababu wanaamini kwenye uwezo wake. Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi Mbowe hii ndio surprise umeita mpaka press Umeanza kutumia vizuri mbinu za CCM daaah, noma sana, tutaona mengi Your browser is not able to display this video. PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka
Mambo yanazidi kunoga huko jamani. BAWACHA Pwani wamesema watatoa Tsh. Milionin1.5 kumchangia Mbowe achukue fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA sababu wanaamini kwenye uwezo wake. Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi Mbowe hii ndio surprise umeita mpaka press Umeanza kutumia vizuri mbinu za CCM daaah, noma sana, tutaona mengi Your browser is not able to display this video. PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Dec 18, 2024 #2 Aise Ova
Etwege JF-Expert Member Joined Jul 4, 2018 Posts 7,207 Reaction score 17,674 Dec 18, 2024 #3 Wengine hapo wametoka kwenye nyumba za nyasi uzaramoni ndani na wametembea kwa miguu kwenda kumpa milioni 1.5 tajiri a anayeishi kwenye gorofa la kitajirinamna hiyo
Wengine hapo wametoka kwenye nyumba za nyasi uzaramoni ndani na wametembea kwa miguu kwenda kumpa milioni 1.5 tajiri a anayeishi kwenye gorofa la kitajirinamna hiyo