Baraza la wanawake chadema(bawacha) limewataka watanzania kukataa serikali tatu kwani ni gharama kubwa kuiendesha, wakikaliliwa mbunge mariam msabaha na mbunge wa morogoro viti maalum wametaka watanzania kukataa rasimu hiyo,
maoni hayo yamekwenda kinyume na mwenyekiti wao freeman mbowe ambapo amesema chadema inaunga mkono rasimu hiyo pale alipokuwa anahutubia wakazi wa iyela-mbeya
mytake
kwanini wametofatiana wakati ilani ya chadema iko wazi
source ITV-Habari
maoni hayo yamekwenda kinyume na mwenyekiti wao freeman mbowe ambapo amesema chadema inaunga mkono rasimu hiyo pale alipokuwa anahutubia wakazi wa iyela-mbeya
mytake
kwanini wametofatiana wakati ilani ya chadema iko wazi
source ITV-Habari