Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Labda kwa ufafanuzi kidogo , hasa kwa wageni na wale ambao wanachelewa kuelewa ni Kwamba huu mpango wa kisasa wa Join The Chain ni Mkakati maalum wa Chadema wa kuhakikisha kila Mtanzania mwenye Pumzi anachangia mapambano ya Haki na usawa kwa ajili ya vizazi vinavyokuja.
Hii ndio Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya habari.
Hii ndio Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya habari.