Mr C Kauli huru
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 148
- 199
Wanajukwaa nczunguke sana na pia so mwandishi sana wakina ni kutokana na kifaa nnachotumia.
Unajua katika mitandao ya kijamii hiv vitu vinazungumzwa kila kona . Tik tok , fb, Instagram na n. k
Hoja yangu kuu ni ipi haya magonjwa yana dawa?
Je sababu kuu nnin isababishayo haya?
Why enzi za wazee wetu hayakuwepo na kasi kama hii ya kizazi cha leo?
Je nin kipo nyuma ya pazia juu ya magonjwa haya?
Na mtu mwenye moja wapo kati ya haya afanyeje?
Karibu kwa hoja na majadiliano. Fikisha kile ujuacho
Wazee wakukosoa, kukurupuka, wamapovu na unafiki karbuni ila mtumie hakili katika hoja na maswali.
Mr C kauli huru
Wema usokua na hekima kazi bure
CHUGA ONE
Unajua katika mitandao ya kijamii hiv vitu vinazungumzwa kila kona . Tik tok , fb, Instagram na n. k
Hoja yangu kuu ni ipi haya magonjwa yana dawa?
Je sababu kuu nnin isababishayo haya?
Why enzi za wazee wetu hayakuwepo na kasi kama hii ya kizazi cha leo?
Je nin kipo nyuma ya pazia juu ya magonjwa haya?
Na mtu mwenye moja wapo kati ya haya afanyeje?
Karibu kwa hoja na majadiliano. Fikisha kile ujuacho
Wazee wakukosoa, kukurupuka, wamapovu na unafiki karbuni ila mtumie hakili katika hoja na maswali.
Mr C kauli huru
Wema usokua na hekima kazi bure
CHUGA ONE