Bayern, Liverpool, Madrid na Roma kukipiga nusu fainali ya UEFA, nani ana nafasi kubwa kuchukua Ubingwa?

Bayern, Liverpool, Madrid na Roma kukipiga nusu fainali ya UEFA, nani ana nafasi kubwa kuchukua Ubingwa?

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Screenshot_2018-04-12-06-56-13-1.png


Klabu za soka za Real Madrid ya Uhispania na Bayern Munich ya Ujerumani zimefuzu kuenda hatua ya nusu fainali katika michuano ya [HASHTAG]#KlabuBingwaUlaya[/HASHTAG]

IMG_20180412_064046.jpg


Pamoja na jana kufungwa goli 3-1, Madrid inafuzu kutokana na jumla ya magoli 4-3(aggregate) dhidi ya Juventus katika mechi mbili kwenye hatua ya robo fainali

IMG_20180412_063951.jpg


Bayern yenyewe katika mchezo wa marudiano wa jana dhidi ya Sevilla ilitoka suluhu ya bila kufungana. Hivyo Bayern inafuzu kwa jumla ya goli 2-1(aggregate)

IMG_20180412_064015.jpg


Timu nyingine zilizofuzu katika hatua ya nusu fainali ni Liverpool ya Uingereza na AS Roma ya Italia

Droo ya nusu fainali kujua Klabu gani zitakutana katika hatua hiyo itafanyika kesho, Ijumaa Aprili 13.
 
Wazee wa mbeleko naona wamepita kwa kuwekewa ngazi kabisaa!! teh! teh!
Unaleta uzaramo kwenye mambo ya msingi?
View attachment 741954

Klabu za soka za Real Madrid ya Uhispania na Bayern Munich ya Ujerumani zimefuzu kuenda hatua ya nusu fainali katika michuano ya [HASHTAG]#KlabuBingwaUlaya[/HASHTAG]

View attachment 741950


Pamoja na jana kufungwa goli 3-1, Madrid inafuzu kutokana na jumla ya magoli 4-3(aggregate) dhidi ya Juventus katika mechi mbili kwenye hatua ya robo fainali

View attachment 741953

Bayern yenyewe katika mchezo wa marudiano wa jana dhidi ya Sevilla ilitoka suluhu ya bila kufungana. Hivyo Bayern inafuzu kwa jumla ya goli 2-1(aggregate)

View attachment 741952

Timu nyingine zilizofuzu katika hatua ya nusu fainali ni Liverpool ya Uingereza na AS Roma ya Italia

Droo ya nusu fainali kujua Klabu gani zitakutana katika hatua hiyo itafanyika kesho, Ijumaa Aprili 13.
 
Liver akikutana na striking force iliyotulia km Bayani au Madrid, watakuwa na wakati mgumu
 
Back
Top Bottom